Hapoo sasa MJ1, maana wengine ni ile namna swali linavyoulizwa .......... wala sio kiatu ........ mie na jicho, body inavyozunguswa hapa ili uone pande zote. Na wengina hata kukuegemea/angukia ...... Nyama yao sijui yuko wapi nasikia yeye anakupitu kwa juu .............:smile-big:Kichakoro na GFM ndo unapaswa uelewe kwa nini kamwacha Juma au John kakufuata weye kukuomba ushauri.......jiulize kama kuna incidencs nyingine awkward amehakufanyia kisha soma alama za nyakati jamani.................
Mauzauza haya KC mi nlidhani the opposite ndio ingekuwa problem ............... wanasema hawa viumbe ni tofauti, kila mmoja kwa aina yake........ msome wako na umuelewe ipasavyo......... tatizo nikwambaRose naomba mimi nikuulize hivi:
- Nipo na mdada na tumebaki kama tulivyozaliwa kitandani, lakini nikipeleka mkono wangu kuelekea kwenye mafiga ya nyuma hudai kuwa hapendi, lakini ukimwachia anageuka na kukupa mgongo huku ukipeleka vifaa vyako zero distance anatulia...! Kulikoni?
Hahahahah GFM......................jamani kufumba au kutokufumba macho inahuu?? Wajua huwezimjaji mtu kwa kufumba au kutofumba macho wakati wa shughuli jamani tumetofautiana na wote hatuko kwenye position ya kujaji kuwa hapa yuko real au la....kuna wale ambao wakifumba macho humaanisha hasa na kuna wale ambao anafumba macho huku akivuta hisia ya mtu mwingine.......so its hard kujua which is which............... So haijalishi kama kafumba macho au lah cha muhimu ni wewe kuwa mbunifu............. make sure you are a good kisser bana.... kuwa mbunifu kama leo umenikiss kwa kumeza milips yangu yote basi kesho tumbukiza lip ya chini tu....................kama leo umekiss kwa kutoa ulimi wako wote na kunilowesha na mimate yake......kesho bania usitoe ulimi wote yaani nawe kuwa mbunifu banaaa
CM MJ1 unajua we don't have control on that ........ yaani nijifanye ati leo natoa ncha ya ulimi tu ........ wakati mwenyewe waitaka yote si unantakia ugovie mie hapo .......... umeshapigwa kabali ya shingo
na hata kama mpo kwanye lift haijalishi ........ siku nkitoka kasafari huwaga najiandaa maana
.......... sijui tukiwa hatupo kwa muda huwa mnachaji ...:smile: Afu hapo kwenye red hapo mi ndio mnani-killlll I don't know what to say ......... tuoneeni huruma wajameni ...:rain:
Hahhahahaha
Take me back into your arms again
Ill be waiting for u, here inside my heart
I ll be the once to love more..................................ctaki kesi G.
Pitia pitia humu ndugu yangu nilikuw na kungwi ananifunza maana izi halama za nyakati
kweli zahitaji darasa ..........
Mkuu, siku hizi nadhani maongezi yataisha kabisa!
1.Uvaaji wa maneno fulani inaitwa VIKUKU, nasikia inatoa ujumbe kwa walaji!
2.Sketi fulani za mipasuo ya aina yake inatoa ujumbe muafaka, pia uvaaji chachandu!
3.Nasikia wasichana wengine wanabeba kwenye mkoba funguo za gari na anahakikisha anakuonyesha, ili ujue kuwa hongo isipungue full-tank ya mandolin yake!
4.Wanaotembelea baa wanajua msichana au mwanamke akichagua siti ya peke yake kwenye bar anatoa ujumbe gani!
Body language nayo inakua, just like lugha ya maneno inavyokua!
Nawasilisha!
U just apologies and go ........... naambiwa hutakiwi kuwa mgumu ............. itabidi utafute wa kukufundisha one-on-one sijui fee yakeNajaribu kuzielewa.Tatizo la mtu kama mimi napenda kuona au kuambiwa kitu kama kilivyo. Ukimuona mtu anarembua macho ukamsogelea kumbe anamkumbuka mpenzi wake wa zamani akakuumbua itakuwaje? I don't really understand body language
PJ nakubaliana na wewe 100% hizi alama za mwili zinakuwa kila siku............... Rose ana MJ1 sijui mnaweza tuandikia
ka-summary. Katatusaidia kukufanya muwe-happy na sisi pia!
Rose naomba mimi nikuulize hivi:
- Nipo na mdada na tumebaki kama tulivyozaliwa kitandani, lakini nikipeleka mkono wangu kuelekea kwenye mafiga ya nyuma hudai kuwa hapendi, lakini ukimwachia anageuka na kukupa mgongo huku ukipeleka vifaa vyako zero distance anatulia...! Kulikoni?
- ninatembea njiani, napishana na mdada, lakini baada ya kusalimiana na kupishana, nafika kama umbali wa mita 20+ na naangalia nyuma nakuta naye kageuka....!
- Kila nikikutana na mdada fulani lazima aniulize mke/GF wangu....!
- Kila nikitemebea naye mtaani na mbele ya watu, hujitahidi kunisogelea na mara nyingine huchukua mkono wangu ili tutembee tukishikana mikono...!
- Kila nikikutana na mdada fulani, na tukakaa kwa muda kupiga strory, mara nyingi hupenda kuanzisha story za mahusiano, kama ni sisi wawili tu; hasa kwa kunisingizia kuwa nipo na fulani, mara fulani, leo fulani....!
- Mdada nisiyewahi hata kumwambia nia yeyote, lakini akanipigia simu saa tano usiku, na akaishia kuwa alitaka kunisalimu tu.....!
apo kuna vtu viiiiiiiing ...lakin usijaribu kuzan uyu dada ananitaka et ananipigia simu uyo,ananishkla mkono..apo inaweza ikawa yes au noooo...mnafel saaaaaaaana pale mtu anapokuwa social kwako afu nyinyi et mnaona ahhh uyu anantaka......apana
issue yako ndefu bwana kuandka apa siwez...........
Hivi we mrembo, hiyo avatar yako nayo ni body language au??????