profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
tandale kubwa ndugu yangu,nielekeze ukitokea taa za magomeni,morogoro na kawawa,,au za kanisa katoliki njia panda kwenda sinza..Nenda Tandale utapata
Tandale Kwa wauza spare used au wakata magari hapo Magomeni Kanisani unapoenda Mkwajuni katisha upande wa Kushoto Kuna mataa hiyo njia inaenda Tandale mpaka Sinza. Ukikaribia Tandale utakuta gari zimekatwa njiani upande wa kulia na kushoto ukiwauliza hao ndipo utaipata.tandale kubwa ndugu yangu,nielekeze ukitokea taa za magomeni,morogoro na kawawa,,au za kanisa katoliki njia panda kwenda sinza..
asante sana mkuuTandale Kwa wauza spare used au wakata magari hapo Magomeni Kanisani unapoenda Mkwajuni katisha upande wa Kushoto Kuna mataa hiyo njia inaenda Tandale mpaka Sinza. Ukikaribia Tandale utakuta gari zimekatwa njiani upande wa kulia na kushoto ukiwauliza hao ndipo utaipata.