Boeing kuliinua zaidi AirTanzania yatoa ndege kwa Fujo kwa AirTanzania

Boeing actually borrows from its customers in the form of mandatory deposit so that it can buy materials to start manufacturing the aircraft for the client. JPM has negotiated this out, meaning that they have to get their own funds to start the project
 
Peleka upumbavu what Boeing is doing is giving ATCL a chance to acquire aircraft from orders cancelled by other airlines. We don't lease like what KQ does! We buy.
 
Tunakimbilia ndege wakati kuna njia ya mbeya mpanda kigoma haipitiki huko wakati wa mvua,
 
Tunakimbilia ndege wakati kuna njia ya mbeya mpanda kigoma haipitiki huko wakati wa mvua,
Kule Kenya njia zote zinapitika sio? How about returns? BTW kuna fedha zimetengwa Kwa ajili ya barabara hiyo.
 

Our creditworthiness is high this is why anyONE can advance loan to US.
 
Maelezo yamekamilika hata kama mtu kilaza hajakuelewa, huyo mtu atahitaji maombi

Mtu mzima lakini hajui nini faida ya Tanzania kuwa na shirika la ndege
 
Hivi wewe unajua maana ya instalments ama umeandika kitu huelewi?😀😀

Siyo KILA mtu ananunua kitu on credit. Others are paying cash like what we do. Mind you, normally instalments are associated with the interest rate so as to amortize the full payment.
 
Peleka upumbavu what Boeing is doing is giving ATCL a chance to acquire aircraft from orders cancelled by other airlines. We don't lease like what KQ does! We buy.

Bado tukakua hapa when the rubber meets the road or better still as will be in your case when shit hits the fan. You'll know that Boeing isn't in a charitable airlifting mission to some wannabe airlines or anyone else for that matter!
 
jipe matuamaini zishanunuliwa mbili cash payment na bado hehehe magu kiboko ya wakenya

Hapo wajue tu pax wote waliokuwa wakipitia JKIA saa hii bye bye. We will have the direct flights to/fro all potential tourists destinations.
 
jipe matuamaini zishanunuliwa mbili cash payment na bado hehehe magu kiboko ya wakenya

Hapo wajue tu pax wote waliokuwa wakipitia JKIA saa hii bye bye. We will have the direct flights to/fro all potential tourists destinations.
 
Bado tukakua hapa when the rubber meets the road or better still as will be in your case when shit hits the fan. You'll know that Boeing isn't in a charitable airlifting mission to some wannabe airlines or anyone else for that matter!
Charity ni KQ kuwaomba mabenki wa convert loan zao ziwe hisa sababu wameshidwa kulipa madeni 😀
 

Hapa duniani ni mara chache sana hutokea mtu au kampuni kununua ngege kwa cash. Haya ni maajabu yako TZ
 
Hapo wajue tu pax wote waliokuwa wakipitia JKIA saa hii bye bye. We will have the direct flights to/fro all potential tourists destinations.

Tourist traffic is so fickle my friend! Tourism industry is based on perception and global trends. Just because ATCL/JNIA is getting a facelift that won't divert traffic from JKIA to your perceived hub. First have local pax payloads to sustain airlines before banking on fleeting tourists.
 
Facelift is the best way to attract Direct flights, So which other perseption are you talking about? 😀
 
Those same tourists don't like to connect flights.

"He added: “Previously, hotels in Malindi used to close down temporarily during the low season. But this time some will no not reopen.”

The KAHC official said the industry in Kilifi County was facing its worst moments, adding that both local and international tourists were hard to come by. He added that tourism in Malindi could recover if Malindi Airport is expanded to handle bigger aircraft.

“International tourists prefer to fly directly from Italy to Malindi, rather than from Europe to Nairobi for eight hours and then connect to Mombasa,” he said".

Hotels now face closure on low business



MY TAKE
Having brand new 8 aircraft plus new terminal at at JNIA aside other improvements in KIA, AAKIA plus Songwe airports plus 13 medium sized airport will dental a decrease in PAX to JKIA. That's a fact.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…