ndio mana ni migumu sababu haiwekwi mafuta na ukiiangalia unaiona tu inatengenezwa kinyumbani nyumbani duh haya enjoy mlo wakoThat should tell you kwamba hii bidhaa ni nzuri na tamu. Imekubalika for years now na wala hakuna dalili ya watu kuisusa. Ni mkate ambao ni mzuri na mtamu haswa kiladha na kiafya. Hautengenezwi kwa kutumia mafuta kabisa
My wife is preparing that for me hapa nilipo hahahaah.
View attachment 2040062
Sijawahi kupanda mwendokasi sijui nauli yakeUna maana gani??
Si nimeskia mwendokasi ni 650?? Huko 50 haitumiki
Hawavijui vigumu hawa watoto wa mamaNi mgumu?
Poapoahivyo vyote nala hata huo ugali na napendelea ugali mchana nibadilishe mboga tu ni vyakula vichache tu nisivyokula
vile ambavyo ni vigeni kwangu, kwa mfano zenji kuna vitu vinaitwa masheli sheli hayo hayapandi maharage ya sukari hapana kwa kweli viazi mviringo vya naz hapana na list inaendelea
Marekani ugali ni chakula cha farasi.Vipi kuhusu Wala ugari
Mmhhhh unatunanga sana aiseeee😂😂😂😂😂 sasa s angekua na akiba akala anachotaka?? asubuhi urojo mchana urojo hahahhaa nimecheka, mimi kinachonishinda ni wali yan wali ni guarantee mchana na mchuzi huo kama juisi
Sanaaaa!Hehehe wali mtamu nyie nyie
Ni eggchop mkuu sio ekchopniliwahi kuhudhuria harusi nikiwa zenj, yani nilipiga hivo vitu mpaka kifua kikafanya kiungalia kama kuwaka moto kabisa yani dah ilikua tafrani wakati wa kulala usiku.
Kuna katlesi, kababu, ekchop, kuna na moja wanaita tri angle kama hivi unaweza kujisahau ukafakamia.
Aiseeeee yaani mimi na wewe nyumba mojaUnakinai kuna muda ugali
Ila sipendi ugali usiku 😂
Siku moja uniletee na mimi nionje[emoji39]Hawavijui vigumu hawa watoto wa mama
Eeh..hayaMarekani ugali ni chakula cha farasi.
Kwanza ni chakula cha kitumwa
Nimemshangaa kwa kweli Madame SMkuu hata ww unakula ugali ?[emoji23][emoji1787]
Achana na hayo makitu ukhtynisile ugali nina kasoro gani??
Huu ni ukweli japo utapingwa sanaUgali chakula cha kimasikini
Ukiwakuta mtendeni pale kwa kijiko au kwa kombo na miwigi yao utaskia tunataka "ulojo"Msijifanye high class kutwa mnashindia mrenda na kambare ...huku wanyamwezi hamtoki kwenye foleni za urojo
Sitosahau siku nliyopita dodoma nikawa nakula kuku, basi ile mifupa ninayotupa kutoka kwenye bus kumbe kuna watoto wanaiokota na kula. Machozi yalinitoka, bus lilikuwa limesimama ilibidi nishuke nkawafuate wale watoto aiseeee.Tukisoma comment zenu humu utadhani wabongo kama raia wa Brunei vile kumbe ingia huko chocho shida tupu
Samahani mkuu lakini this is the stupidest excuse to have came across today!Sijawahi kupanda mwendokasi sijui nauli yake
Huko huko???Siku moja uniletee na mimi nionje[emoji39]
Me tooSamahani mkuu lakini this is the stupidest excuse to have came across today!
Yes...kuna tatizo?Huko huko???