Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
ndio mana ni migumu sababu haiwekwi mafuta na ukiiangalia unaiona tu inatengenezwa kinyumbani nyumbani duh haya enjoy mlo wakoThat should tell you kwamba hii bidhaa ni nzuri na tamu. Imekubalika for years now na wala hakuna dalili ya watu kuisusa. Ni mkate ambao ni mzuri na mtamu haswa kiladha na kiafya. Hautengenezwi kwa kutumia mafuta kabisa
My wife is preparing that for me hapa nilipo hahahaah.
View attachment 2040062