Uchumi wa buluu usijaliMaisha yanazidi kuwa magumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi wa buluu usijaliMaisha yanazidi kuwa magumu
Ugali chakula cha kimasikinisasa lakini kwa wanawake si ndio mzuri, kwanini hamuupendi?
Msijifanye high class kutwa mnashindia mrenda na kambare ...huku wanyamwezi hamtoki kwenye foleni za urojoUsifikiri ni bonge la mkate kama ya Bakhresa bali ni kamkate kadogo tu hata mtoto hashibi.
huku Bara wanauza 350 kwa mmoja
Tukisoma comment zenu humu utadhani wabongo kama raia wa Brunei vile kumbe ingia huko chocho shida tuputena harusi kama hivyo wanaita chai ndio kuna hayo mambo
nimeona nikupuzeTukisoma comment zenu humu utadhani wabongo kama raia wa Brunei vile kumbe ingia huko chocho shida tupu
Tulia we kima wa kipe.mba watu wale kimba la bofoloo hilo nyani kabisaNyie machogo wa bara msituchafulie huo waitwa bofulooooooh
Kwani papuchi za zenji zikoje??! Au zimetepeta coz wanagawa tigo sana 😀😀😀Hilo boflooo ulipate na supu ya chuchunge halafu nipate papuchi kutoka bara hatari sanam
True watu bara hasa kutoka mbeya, arusha, iringa, njombe ukanda wa baridi tukiwapa mchezo wazenji hawatoki kwa kilio cha utamu sio hao wa pwani mdebwedo sana😄😄😄Imagine baba mwenye nyumba usiku anakula boflo na kamchuzi halafu anaenda kulala.******
****Ndio maana mwanamke aliyeolewa wa visiwani akikutana na jabali la bara lazima achanganyikiwe.
Mkate mzuri wa boflo ni ule United wa kisumu, kenya,,, mkate laini kana sufi, unaweza kuula wote mkavu bila hata maji na ni mtamu.
[emoji116]Mkate mzuri wa boflo ni ule United wa kisumu, kenya,,, mkate laini kana sufi, unaweza kuula wote mkavu bila hata maji na ni mtamu.
Hahahahhahahaahahahah!
Mkuu get your facts right.Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.
Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.
Ukhty huijui uzuri wake.Sijui hua mnaipendea nini, mikate mikavu hiyo mie mnanikamataga tu kwneye bites zenu, katles, bajia, sana hua napendelea mikate ya ufuta na uroojoo
hebu nambie pengine unaweza nifungua macho, na wanaipenda almost karibu kila familia wanailaUkhty huijui uzuri wake.
Jiheshimu wewe !Na mnavyotaka muungano uvunjike maanina nyie na kijiji chenu hicho hilo boflo mtalinunua buku
That should tell you kwamba hii bidhaa ni nzuri na tamu. Imekubalika for years now na wala hakuna dalili ya watu kuisusa. Ni mkate ambao ni mzuri na mtamu haswa kiladha na kiafya. Hautengenezwi kwa kutumia mafuta kabisahebu nambie pengine unaweza nifungua macho, na wanaipenda almost karibu kila familia wanaila
Una maana gani??Huko 50 bado inatumika [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Acha kuongea kwa kudhani.Sidhani kama wanaipenda kwa shati, ni hali ya kipato chao huwalazimisha kula boflo