Arash charlz
Member
- Apr 23, 2014
- 50
- 1
Mimi ni mhtimu wa 4.mwaka 2013 na matokeo yangu ni div.4.32 na nimefeli chem kwa kupata E,na math F, Pia nimefaulu engl C,na kisw B,yaliyo baki yote D.Sasa naomba ushauri wako kuhusu kusoma chuo bora na kozi bora yenye ajira