Boiboi mkali: Natamani Simba wasikutane na Yanga tarehe 8

Boiboi mkali: Natamani Simba wasikutane na Yanga tarehe 8

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Hii mechi ya tarehe 8 kama kungekuwa na uwezekano basi kanuni ingebadilishwa Simba wasicheze na Yanga kwa sababu naona kabisa hii mechi inaenda kuvuruga watu upya kabisa. Simba ndo kwanza inajijenga Sasa hivi yaani imeanza upya wanaenda kukutana na Yanga ambayo Ile Ile ya msimu uliopita lakini mbaya zaidi wameongezeka wachezaji Bora zaidi

Kwa hiyo kwangu Mimi kama ningekuwa na uwezo hii mechi Simba asingecheza na Yanga angetafutiwa timu nyingine ya kucheza nayo lakini sio Yanga naona kabisa inaenda kuvuruga watu - @boiboimkali

#Dimbani

#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha #startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
1722353436793.jpg
 
Wale wa basic maths mukuje huku jamani

Ati

Mwezi wa tano akapewa bao 5

Mwezi wa nane kimahesabu atapigwa ngapi??


Nikokwawakalaaa kama huamini

Hii mechi itakuwa ya miujiza aijawahi tokeaa watu watatfuta geti ya uwanja wa taifa pakutokea wasipaone

Nashauri uwepo ulinzi mkubwa sana kulinda wachezaji na viti
 
Hii mechi ya tarehe 8 kama kungekuwa na uwezekano basi kanuni ingebadilishwa Simba wasicheze na Yanga kwa sababu naona kabisa hii mechi inaenda kuvuruga watu upya kabisa. Simba ndo kwanza inajijenga...
Bora ligi inakwenda kuanza huku nikishuhudia washabiki mkianza kukonda hua nainjoi😂😂😂😂😂
 
Wale wa basic maths mukuje huku jamani

Ati

Mwezi wa tano akapewa bao 5

Mwezi wa nane kimahesabu atapigwa ngapi??


Nikokwawakalaaa kama huamini

Hii mechi itakuwa ya miujiza aijawahi tokeaa watu watatfuta geti ya uwanja wa taifa pakutokea wasipaone

Nashauri uwepo ulinzi mkubwa sana kulinda wachezaji na viti
Mlisema haya haya ngao ya jamii mwaka jana ila Simba alimkanda uto na akabeba ngao.

Mpira hauchezwi mdomoni ama mitandaoni bali kwenye pitch dakika 90.
 
Nikweli uliyosema rafiki,lakini timu hizi mbili za Kariakoo zina vyanzo vya ushindi vingi.Usijeshangaa siku ya tarehe 8 simba wakawazidi Yanga katika vyanzo vingine.
Hiyo ni mambo ya kizamani sana,timu bora inashinda tu...........msimu uliopita kwa namna Simba ilivyokuwa hata wangecheza mechi kumi zote wangepigika..........wanasimba endeleeni kusikiliza ubora wa timu yenu kupitia media tu msije shangaa mnakula nane siku ya nane nane😀
 
Nikweli uliyosema rafiki,lakini timu hizi mbili za Kariakoo zina vyanzo vya ushindi vingi.Usijeshangaa siku ya tarehe 8 simba wakawazidi Yanga katika vyanzo vingine.
Pamoja na vyanzo vingu vya ushindi walivyo navyo hizi timu, lazima awepo favourite ktk kila mechi wanapokutana. Kwa Sasa yanga anauwezo mkubwa wa kushinda kuliko Simba japo Simba anaweza kushinda pia.
 
Nikweli uliyosema rafiki,lakini timu hizi mbili za Kariakoo zina vyanzo vya ushindi vingi.Usijeshangaa siku ya tarehe 8 simba wakawazidi Yanga katika vyanzo vingine.
Hamna hayo mambo hivi sasa,na msijaribu mambo yenye madhara kwa binaadamu yeyote.Kwani mbinu zote chafu zipohadharani kwa uzoefu wa matukio ovu yanayotokea.
 
Nimepitia pages za michezo za zambia,nimeona washabiki red arrows wameikataza timu yao isije siku ya mwanachi maana hii Yanga inatisha,sa sijui itakuaje wallahi
 
Back
Top Bottom