Boiboi mkali: Natamani Simba wasikutane na Yanga tarehe 8

Boiboi mkali: Natamani Simba wasikutane na Yanga tarehe 8

Wale wa basic maths mukuje huku jamani

Ati

Mwezi wa tano akapewa bao 5

Mwezi wa nane kimahesabu atapigwa ngapi??


Nikokwawakalaaa kama huamini

Hii mechi itakuwa ya miujiza aijawahi tokeaa watu watatfuta geti ya uwanja wa taifa pakutokea wasipaone

Nashauri uwepo ulinzi mkubwa sana kulinda wachezaji na viti
[emoji23][emoji23]
 
Huyu naye ni mchambuzi wa soka ama ni shabiki andazi kama maandazi mengine?
Yanga inaenda kufumua mshono tarehe 8 iko wazi, hasira na povu havitasaidia, dawa ni moja tu, simba kukimbia tu nje kabisa ya bongo kama Burundi maana ikijificha bunju tutaenda kupiga nao mbungi la ndondo huko huko mchangani!!

Magoli ya Yanga yatakuwa ni even numbers yaani 2 , 4, 6 au 8.

Kinachoua Simba kwenye derby za siku hizi ni masifa, shauku na ari ya wachezaji hasa wa kigeni wa Yanga ambao wana uwezo mkubwa na wamejua ukiifunga Simba raia wanacheka meno yote, wanainua mabega, wanakupenda na kukusifia sana mitandaoni na viongozi wa klabu wanakupa mkataba mpya mnono zaidi!!

Bongo Mpira unalipa sana kwa wageni, hakuna anaetaka kurudi kwao. Haya yote namaanisha Dube atapiga hat trick derby ya tarehe 8 , niko paleee maskani Buza Mpalanger!!
Simba kwanini msikimbie aibu hii kubwa na maumivu makali?
Simba chagueni kilicho bora, kutoka nduki!!
 
Wale wa basic maths mukuje huku jamani

Ati

Mwezi wa tano akapewa bao 5

Mwezi wa nane kimahesabu atapigwa ngapi??


Nikokwawakalaaa kama huamini

Hii mechi itakuwa ya miujiza aijawahi tokeaa watu watatfuta geti ya uwanja wa taifa pakutokea wasipaone

Nashauri uwepo ulinzi mkubwa sana kulinda wachezaji na viti
No wonder taifa haliendelei

What a waste of a person

Hata BAM haiko shallow hivi
 
Hii mechi ya tarehe 8 kama kungekuwa na uwezekano basi kanuni ingebadilishwa Simba wasicheze na Yanga kwa sababu naona kabisa hii mechi inaenda kuvuruga watu upya kabisa. Simba ndo kwanza inajijenga Sasa hivi yaani imeanza upya wanaenda kukutana na Yanga ambayo Ile Ile ya msimu uliopita lakini mbaya zaidi wameongezeka wachezaji Bora zaidi

Kwa hiyo kwangu Mimi kama ningekuwa na uwezo hii mechi Simba asingecheza na Yanga angetafutiwa timu nyingine ya kucheza nayo lakini sio Yanga naona kabisa inaenda kuvuruga watu - @boiboimkali

#Dimbani

#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha #startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
View attachment 3056988
Inatisha sana.
 
Back
Top Bottom