Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Katika hali ya kushangaza hao unaowaita bolt hawana ofisi kaa wala mkurugenzi wao hajulikani ni nani kaa ukilijua hilo kwa mazingira hayo ni vigumu kuhakika matatizo yenu au ya hawa madereva yanasikizwa au kutatuliwa na ndio maana madereva wanaamua kujiongeza kwa kufanya mambo wanayoweza ili angalau familia zipate chochote kitu.Dereva siku hizi anazima data akifika mbele anajifanya haoni kitu kwa System so anataka mkadiriane bei. Mwingine zile discount za mteja mpya wanakataa wakidai Bolt ofisi zimefungwa hapa nchini.
Kuna wakati kama mtumiaji hajielewi au haijui sehemu , dereva anachukua simu ya mteja kama anamsaidia, halafu anaweka location ya mbele kidogo yaani ili azidi hata 500.
Yeyote aliyepigwa au kukutana na magumashi ya waendesha Bolt aweke hapa:
FactBolt wenyewe ndio wezi,kampun haina ofisi we uliona wap?