Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Dereva siku hizi anazima data akifika mbele anajifanya haoni kitu kwa System so anataka mkadiriane bei. Mwingine zile discount za mteja mpya wanakataa wakidai Bolt ofisi zimefungwa hapa nchini.
Kuna wakati kama mtumiaji hajielewi au haijui sehemu , dereva anachukua simu ya mteja kama anamsaidia, halafu anaweka location ya mbele kidogo yaani ili azidi hata 500.
Yeyote aliyepigwa au kukutana na magumashi ya waendesha Bolt aweke hapa:
Kuna wakati kama mtumiaji hajielewi au haijui sehemu , dereva anachukua simu ya mteja kama anamsaidia, halafu anaweka location ya mbele kidogo yaani ili azidi hata 500.
Yeyote aliyepigwa au kukutana na magumashi ya waendesha Bolt aweke hapa: