Ramani ya kisasa, ata uwezekaji utatumia mabati ya kisasa na mtindo wa kisasakwa nn mkuu
8m boma? Bro una Utani na Ujenzi aseeWakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Makadrio yyte atakayokuambia fundi usiamini , weka mara mbili yake utakuja kunishukru badae nimekaa palehapo bati bajet yake ni 5M
Ni vizuri wakate kwa ukubwa wa mita kwa eneo husika, kuliko kukata vipande vipande; ni vizuri ukachukulia kiwandanihapo bati bajet yake ni 5M
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Unaweza ukawatumia hao, au wengineokiwanda lazima kihusike pale ALAF
na mm nalenga hapo chini mpaka lenta bas kwa 8M kuna mtu kasem sitobiiMzee achana na hao wanna jf
Hilo Jengo linaisha tena bila shida utashangaa mtu anakuja kukwambia eti mil100
Sijui watu wa mjini wanajenganga kwa kutumia nini mtu anakuambia bei kubwaa utasema anajenga kwa kutumia dhahabu wakati sisi huku gharama kubwa ni kwenye mabati na kenchi zake huku kwingine kuanzia chini mpaka lenta mbona oya oya tu
Sijaona malipo ya fundi hapoona mm nalenga hapo chini mpaka lenta bas kwa 8M kuna mtu kasem sitobii
Kiuhalisia Iyo ni kuezeka tu tena bati za kawaida, mwamba naona bajeti yake yoote ni 8 MKuezeka weka 10m
Unachosema ni kweli ila ubora wa nyumba zetu unauonaje?Mzee achana na hao
Hilo Jengo linaisha tena bila shida utashangaa mtu anakuja kukwambia eti mil100
Sijui watu wa mjini wanajenganga kwa kutumia nini mtu anakuambia bei kubwaa utasema anajenga kwa kutumia dhahabu wakati sisi huku gharama kubwa ni kwenye mabati na kenchi zake huku kwingine kuanzia chini mpaka lenta mbona oya oya tu
PointUnachosema ni kweli ila ubora wa nyumba zetu unauonaje?
Tunatumia gharama ndogo kwa sababu tu hatuna pesa, ila kusema kweli nyumba nyingi zipo substandard. Likija mfano tetemeko dogo tu la richter scale ndogo tu hapa Dar ndio tutajua aina ya ujenzi tunaojenga.