EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.k
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.k