Plot4Sale Boma linauzwa Boma Ng'ombe kwa Wasomali

Plot4Sale Boma linauzwa Boma Ng'ombe kwa Wasomali

Haupo serious mkuu.

Hujaeleza ukubwa wa eneo upo vipi, picha ya jengo nayo umeipiga kimachale sana , na mapungufu mengine mengi wanajukwaa wameyaeleza. .

Hebu weka taarifa zote hapa hadharani ili tuweze kufanya maamuzi.
Naelewa Mkuu,Nafanya mpango wa picha bora...Ila still biashara inaweza kufanyika kama unahitaji kujiridhisha.Ndio maana nimeweka mawasiliano kwa sababu naelewa changamoto.Kuhusu Ukubwa wa eneo hilo nalifanyia marekebisho boss.Ila picha nyingine itabidi univumilie nifanye mchakato.

Naamini haitazuia biashara kufanyika
 
Weka bei Acha longolongo
Faida zakuweka bei ni kutupa confidence huenda mtu atanunua kwa sababu ya kuridhika na bei
 
Naelewa Mkuu,Nafanya mpango wa picha bora...Ila still biashara inaweza kufanyika kama unahitaji kujiridhisha.Ndio maana nimeweka mawasiliano kwa sababu naelewa changamoto.Kuhusu Ukubwa wa eneo hilo nalifanyia marekebisho boss.Ila picha nyingine itabidi univumilie nifanye mchakato.

Naamini haitazuia biashara kufanyika
Unapoamua kufanya kazi ya udalali hakikisha unakuja na taarifa zilizo kamilika hapa Jukwaani, usiruhusu watu watilie mashaka .


Sasa unaona haujui hata ukubwa wa eneo ambalo unaliuza ambalo ndio suala la msingi kuliko hata hilo pagare ulilotuonesha, unawezaje kujadili bei na mteja wakati hata ukubwa wa eneo unalotaka kuliuza hulifahamu wala mteja hajui??
 
Unapoamua kufanya kazi ya udalali hakikisha unakuja na taarifa zilizo kamilika hapa Jukwaani, usiruhusu watu watilie mashaka .


Sasa unaona haujui hata ukubwa wa eneo ambalo unaliuza ambalo ndio suala la msingi kuliko hata hilo pagare ulilotuonesha, unawezaje kujadili bei na mteja wakati hata ukubwa wa eneo unalotaka kuliuza hulifahamu wala mteja hajui??
Mkuu ukubwa wa ene ni 17 kwa 23M sijasema sijui nimesema nina ongeza kwenye uzi.Sorry about that.Shukrani
 
 
Ukiamua kuleta biashara JF hakikisha umejipanga kwa kila kitu. Mfano uwe na details zote za biashara pamoja na bei. Wateja ni wengi sana hapa jf.

Ukishapatana nao mambo ya PM/inbox ya aina yoyote ile yatakuwa ya mwisho kabisa. Sasa huweki bei bila sababu unadhani nini kinaenda kufuatia kama siyo kupigwa?

Kitu kingine, hiyo picha umepiga usiku? Nyumba ni yako au wewe ni dalali? Unadhani ingekuwa kweli kuna dharura ungeleta biashara kwa style yako?
 
Ukiamua kuleta biashara JF hakikisha umejipanga kwa kila kitu. Mfano uwe na details zote za biashara pamoja na bei. Wateja ni wengi sana hapa jf.

Ukishapatana nao mambo ya PM/inbox ya aina yoyote ile yatakuwa ya mwisho kabisa. Sasa huweki bei bila sababu unadhani nini kinaenda kufuatia kama siyo kupigwa?

Kitu kingine, hiyo picha umepiga usiku? Nyumba ni yako au wewe ni dalali? Unadhani ingekuwa kweli kuna dharura ungeleta biashara kwa style yako?
Mkuu,Naelewa kwamba kunaweza kuwa na mapungufu ila sidhani kama na kwa kiwango ambacho wewe umeweka.
Mfano swala la BEI nimesema ni maelewano which means.Niko Open kwa Offers na negotiation. Kuhusu Picha Nafanya Mchakato wa kuongeza nyingine ila bado hiyo iliyopo hapo pamoja na maelezo yangu naamini kabisa kwa mtu ambaye lengo lake ni biashara hataona shida.

Hata hivyo nimeelewa concern zako.Nitaboresha asap.Thanks
 
Back
Top Bottom