Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 116
- 176
Heshima kwenu!
Boma pichani linauzwa lipo Kichangani,Tanga mjini umbali wa takribani 15km toka katikati ya jiji la Tanga.
Ukubwa wa eneo ni mita 15X20
Boma lina vyumba 7 vyote vina vyoo vyake ndani,pia kuna choo cha public.
Umeme na.maji vipo site (havijaunganishwa kwenye boma)
Boma linauzwa kama lilivyo pichani.
Bei 18 milioni.
Mwenye uhitaji njoo PM.
Boma pichani linauzwa lipo Kichangani,Tanga mjini umbali wa takribani 15km toka katikati ya jiji la Tanga.
Ukubwa wa eneo ni mita 15X20
Boma lina vyumba 7 vyote vina vyoo vyake ndani,pia kuna choo cha public.
Umeme na.maji vipo site (havijaunganishwa kwenye boma)
Boma linauzwa kama lilivyo pichani.
Bei 18 milioni.
Mwenye uhitaji njoo PM.