Bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)

Huu mradi umekuwa ukisua sua kwa muda mrefu saana tumeusubiri lakini wapi, wanasiasa punguzeni shobo na miradi ya watu.
Mkuu kwani hayo mapichapicha sio mradu wenyewe?
 
Unaweza kuweka huo mgawanyo wa ajira na ujira alkadhalika manufaa baada ya ujenzi kukamilika??
Je, wanaopisha maeneo ya mradi wamekuwa equally/fairly compensated??
Victims walishalipwa kitambo .....mgawanyo kwa sasa vigumu ila pata picha kila stations 120 along the way to 100km apart ....kuna camp vibarua wote wata move 50km hadi wanakutana kazi kuwapikia maji huduma zote jammii na kulala hapo kambini magari drivers walinzi mafundi ...etc service providers wengine watakuwepo pia ....waendesha mitambo na full Wi-Fi solutions zitakuwepo na watajenga nyumba za wasimamizi na walinzi bomba......mafundi ujenzi etc.....
 
Unauhakika hao victims wamelipwa?? Una uhakika hao "vibarua" walipwa?

Alafu mradi huo huoni kuwa una madhara mengi zaidi ya faida... Climatr change... price of crude oil, etc
 
Hivi uvccm wanahusikaje hapo?Mradi wa Waganda huo na sisi Watanzania kazi yetu kwa hii project ni kukubali lipite kwenye ardhi yetu.Haijalishi rais wetu ni nani,Waganda wakijenga bomba sawa na wasipojenga hatuna tunachokosa.
Mwambieni Mama Samia aruhusu Katiba mpya,miradi iliyopo inatosha kwa sasa.Hilo tu ndiyo linaloweza kumpa Legacy na siyo kukimbizana na miradi ya kampeni za waliopita.
 
Ujenzi ushaanza mkuu?
 
Unauhakika hao victims wamelipwa?? Una uhakika hao "vibarua" walipwa?

Alafu mradi huo huoni kuwa una madhara mengi zaidi ya faida... Climatr change... price of crude oil, etc
Ooohhh basi uzuie mkuu lisijengwe
 
Wananchi walionufaika wako wapi au unasema watakaonufaika?? Niko kandokando mwa mradisijaona kitu.
Ubabaishaji mwingi EACOP wanahubiri mradi kunufaisha waguswa wakati miradi na tender zikidakwa juu kwa juu na wajanja wa Dar hakuna cha local content wala nini, kuhusu local content inabidi EACOP na TPDC mjitafakari, mnachojaribu kufanya sicho, kuweni wazalendo hii nchi ni yetu sote.
 
Ishu siyo mimi kuuzuia... Najaribu tu kukuonesha ujue athari endelevu za huo mradi
Kwa maendeleo nchi zetu changa .....kodi itatusukuma athari ndogo ndogo si mbaya sana....kumbuka lipo la Zambia zaidi 30yrs ....sio la kwanza hili
 
We Mataga/Chawa kwani hujui kuwa tunabomba la mafuta linaitwa TAZAMA? au unajitoa akili ? Waulize wananchi waliopitiwa na Hilo bomba la TAZAMA Hali zao za kiuchumi zikoje?
Sisi ni watu wazima danganya watoto wenzio.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…