Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,651
Taarifa za kina zinaeleza kuwa Baada ya Tanzania kutoa mada kwa Serikali ya Uganda ikiwemo Kina kirefu Cha Bandari ya Tanga chenye uwezo wa kuchua meli kubwa za mafuta,
... hii siielewi. ina maana bandari ya Tanga ina kina kirefu kuliko Lamu? Pale Tanga meli zinatia nanga km 8 hivi kutoka bandarini/mizigo huletwa bandarini na matishari