luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
itatakiwa ujue source kwanza ya uliponunua walipatanaje na halmashauriwadau naombeni msaada nime nununa kiwanja toka halmashauri flan iv apa tz lkn ktk icho kiwanja limepita bomba la maji inch 4 sasa ktk situation kama iyo mwenye kuingia gharama ya kuliamisha ilo bomba anakuwa ni mteja au au aliyeuza ? naombeni msaada wadau nimekwama nashindwa kukiendeleza icho kiwanja maana gharama ya kuliamisha ilo bomba ni kubwa mnoo
Okay nashukuru ! ivyo viwanja vilipimwa na halmshauri ya mji wenyewe then mi nikaenda kununua direct kwao na wakati na nunua hawakusema kama pale pana bomba la maji thereafter nimepata kibali cha ujenzi ndio mwenyekiti wa serikali za mtaa ananiambia ilo swala mkuu nikahisi ni simple case unfortunately ni gharama kubwa yaan kuliamisha tu bomba yaani unajenga pagaluitatakiwa ujue source kwanza ya uliponunua walipatanaje na halmashauri
hiyo itakuwa ni gharama zao pia wanaweza kukwambia kuna sharing cost , wote mtahusikaOkay nashukuru ! ivyo viwanja vilipimwa na halmshauri ya mji wenyewe then mi nikaenda kununua direct kwao na wakati na nunua hawakusema kama pale pana bomba la maji thereafter nimepata kibali cha ujenzi ndio mwenyekiti wa serikali za mtaa ananiambia ilo swala mkuu nikahisi ni simple case unfortunately ni gharama kubwa yaan kuliamisha tu bomba yaani unajenga pagalu
dah hii nchi ndugu yangu ina mambo ya ajabu sana yaani huu ni utapeli wa mchana kweupe kabisa yaani ili swala lina disturb mind yangu sana .. natafakari nikalisemee kwa wizara husika.. au kwa waziri Jafo Selemanihiyo itakuwa ni gharama zao pia wanaweza kukwambia kuna sharing cost , wote mtahusika
okay ushauri ni mzuri mapaka nafikia hapa ndugu yangu nilisha mwandikia barua mkurugenzi akani shauri niwaone maofisa wake wa ardhi sasa maofisa wake wa ardhi wakaniandikia barua niende mamlaka inayo husika na maji ktk huo mji bac jamaa ndio waka piga hesabu na wakaniambia ilo bomba ni la miaka mingi na wao wanashangaa kwann iyo halmashauri walipima viwanja na kuuza ilihali pale limepita bomba la maji la nchi 4 . mi nimetafakari na kuona uamuzi mzuri ni wakumuona jafo amabye ndiye anaongoza TAMISEMIA halmashauri zote zipo chini yake ili ikiwezekana awawajibishenile lesson hata kwa wengine maana inaumiza sana mkuuHebu nenda kaonane na Mkurugenzi wa Halmashauri husika kisha jibu lake linaweza kukupeleka kwa Jafo au Lukuvi
wadau naombeni msaada nime nununa kiwanja toka halmashauri flan iv apa tz lkn ktk icho kiwanja limepita bomba la maji inch 4 sasa ktk situation kama iyo mwenye kuingia gharama ya kuliamisha ilo bomba anakuwa ni mteja au au aliyeuza ? naombeni msaada wadau nimekwama nashindwa kukiendeleza icho kiwanja maana gharama ya kuliamisha ilo bomba ni kubwa mnoo
Dah huu nao eti ni Ushauri.Yaani we zoba kweli, sasa unashindwa nini kulikata? Likate then uje utupe ushuhuda hapa kwa kilichojiri na kama ikitokea polisi wanakuja kukukamata watishie kuwaua, watakuacha tu.
Hao ndio wale ukiomba ushauri unaumwa kidole anakwambia kikate.Dah huu nao eti ni Ushauri.
huja soma thread vizuri..Asante kwa ku commentHadi bomba kupita hapo labda ni eneo la wazi
nafikiri anafikiri ni utoto this is serious case brotherDah huu nao eti ni Ushauri.
Okay nashukuru sana kwa ushauri mzuri lkn mi nazani ni uzembe walifanya kupima viwanja na kuviuza ilihali vina additional cost kwa mlaji yaani ni uonevuWaombe wakubadilishie kiwanja
Ukiwaomba wahamishe hilo Bomba ombi lako litakubaliwa Kwa Kuwa una haki hiyo tatizo litakuwa kwenye utekelezaji
Chukua huuu ushauri....hayo mambo ya kusemeana kwa Jaffo achana nayo mkuu unaweza ukaanzisha vita isiyoisha ikaja kukost maisha yako au ya familia yako. Omba ubadirishiwe kiwanja maisha yaendeleee.Waombe wakubadilishie kiwanja
Ukiwaomba wahamishe hilo Bomba ombi lako litakubaliwa Kwa Kuwa una haki hiyo tatizo litakuwa kwenye utekelezaji