Bombadier, kiukweli huu wimbo sijaelewa sentensi yoyote kwenye verses zake

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595

Naona jamaa wanacheza na Dully Sykes anacheka cheka tu wimbo mzima.

Aliyeelewa anisaidie hata baadhi ya sentensi alizozielewa
 
Wengi wa hawa jina wetu, nyimbo zao nyingi si zakujadiri. Na pia kwenye nyimbo ushabika tunatofautiana, ndiyo maana wengine tunapenda nyimbo za kikongo (bolingo) japo hatujui wanaimba nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…