joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kama kawaida yako, kichwani hamna kitu kabisa, hivi unajua kwamba LDC ni function ya economy pekee?, LDC ni subset ya failed state?. LDC ni disease wakati failed state ni syndrome. Kifupi ni kwamba kuwa failed state ni sawa na kuwa na AIDS, wakati LDC ni sawa na kuwa na Malaria.Afadhali niwe citizen wa failed state yenye ni middle income kushinda kuwa citizen wa nchi yenye asali na maziwa yenye ni least developed country, Yaani LDC
Ni kusema kwamba kenya mlipokuwa LDC mlikuwa wa wagonjwa wa AIDSKama kawaida yako, kichwani hamna kitu kabisa, hivi unajua kwamba LDC ni function ya economy pekee?, LDC ni subset ya failed state?. LDC ni disease wakati failed state ni syndrome. Kifupi ni kwamba kuwa failed state ni sawa na kuwa na AIDS, wakati LDC ni sawa na kuwa na Malaria.
Umegeuza kichwa chini miguu juu, soma vizuri utanielewa, mimi ni mtanzaniaNi kusema kwamba kenya mlipokuwa LDC mlikuwa wa wagonjwa wa AIDS
Hamna dreamliner inakuja mwaka huu. Tag me if it does.
Hakuna Dreamliner inaingi tz june.Stupid boy , ebu angalia hapa http://active.boeing.com/commercial...odels&cboAllModel=787&ViewReportF=View+Report
Hakuna Dreamliner inaingi tz june.
Kubali ukweli wacha kutokwa povu kaka.Huna haja ya kutoa povu. Wait, the time will judge the case.
Kubali ukweli wacha kutokwa povu kaka.
I PIMP YOU TO WHO?June imefika. If in June we SEE no DreamLiner, PIM me.
I PIMP YOU TO WHO?
Mmemfanya nn aliyesababisha ikamatwe,sasa hasira ya nini huku ninawapongeza mkuu?πππmmepata ndege yenu angalau ije isaidie nchi..sio kukaa kwenye garage ya ng'ambo inamea kutu bure
Hii Bombardier kwani inakuja na meli mbona haijawasili? Picha??
This calls for a celebration probably even declare it a Public Holiday.
πππππ Leo watabugia wanzuki hadi walale kwenye mitaro. Deni limelipwa hoyeeeee!
Sijui niseme? Pole jo msupa. Hahaha! πππππIt's going down...again! [emoji2]
Jirani I can see you guys are having a 'feast', on our precious Bombadier! [emoji28]
mliagiza lini B787? Kama mliagiza mwaka huu muingojee 2021, kama ni 2017 mtaingoja hadi 2020. Mnadanganywa virahisi kama wadanganyika kwa nini? It takes 2years from point of ordering to delivery.
Hamna dreamliner inakuja mwaka huu. Tag me if it does.
Yao ni second hand, ilifanyiwa paiting na touchups tuHamna dreamliner inakuja mwaka huu. Tag me if it does.
Yao ni second hand, ilifanyiwa paiting na touchups tu
Nasikikia ilitokea Kule bara Asia halafu inapokelewa na Nchi nzima yani tabia za omba omba zungusha vibakuli.Yao ni second hand, ilifanyiwa paiting na touchups tu