le me help you, weee kwa akili yako unafikiri miaka ya nyuma Tanzania haikuwa na madeni au mikataba kuvunjwa?? lkn uliwahi sikia attachment ya mali zetu zilizoko nje?? kwa nini hii kamata kamata ya mali zetu inatokea kipindi hiki??shallow analysis
Kijakazi wa llumumba
Mimi mchimba makaburi, usinitanie hata kidogo.kijakazi wa mafisadi. hamna chenu sasa, ile kazi yenu ya kutumwa kupeleka manunuzi kwa nyumba ndogo za mabosi.
Chezea cha arusha...ohoooo[emoji3] [emoji191] [emoji377] [emoji377]we jamaa hz pic huwa unazitoa wapi?
Mimi mchimba makaburi, usinitanie hata kidogo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chezea cha arusha...ohoooo[emoji3] [emoji191] [emoji377] [emoji377]
Mikataba alivunjwa kwa kufuata taratibu za kimikataba! Siyo kama hivi, leo hakuna kupeleka makinikia njele me help you, weee kwa akili yako unafikiri miaka ya nyuma Tanzania haikuwa na madeni au mikataba kuvunjwa?? lkn uliwahi sikia attachment ya mali zetu zilizoko nje?? kwa nini hii kamata kamata ya mali zetu inatokea kipindi hiki??
the answer is because of the economic liberation. tuko vitani kupigania uchumi wetu, vita ambayo inawagusa watu wengi wakubwa. mathalani, kule kitendo cha kutaifisha almasi hakiwezi kuwafurahisha mabepari. lazima watafanya jambo la kuwakwamisha ili kuwavunja nguvu.
tanzania haijawai agiza mali ya garama kama bombadier moja kwa moja bila mikopo au misaada ndo maana wameikamata bombadier kwa sababu imenunuliwa kwa hela za serikali bila mikopo au misaadale me help you, weee kwa akili yako unafikiri miaka ya nyuma Tanzania haikuwa na madeni au mikataba kuvunjwa?? lkn uliwahi sikia attachment ya mali zetu zilizoko nje?? kwa nini hii kamata kamata ya mali zetu inatokea kipindi hiki??
the answer is because of the economic liberation. tuko vitani kupigania uchumi wetu, vita ambayo inawagusa watu wengi wakubwa. mathalani, kule kitendo cha kutaifisha almasi hakiwezi kuwafurahisha mabepari. lazima watafanya jambo la kuwakwamisha ili kuwavunja nguvu.
tanzania haijawai agiza mali ya garama kama bombadier moja kwa moja bila mikopo au misaada ndo maana wameikamata bombadier kwa sababu imenunuliwa kwa hela za serikali bila mikopo au misaada
Umesahau na serikali inaongoza ka kupiga minada mali za wananchi wake ? Sheria ni msumeno lipen deni acheni porojole me help you, weee kwa akili yako unafikiri miaka ya nyuma Tanzania haikuwa na madeni au mikataba kuvunjwa?? lkn uliwahi sikia attachment ya mali zetu zilizoko nje?? kwa nini hii kamata kamata ya mali zetu inatokea kipindi hiki??
the answer is because of the economic liberation. tuko vitani kupigania uchumi wetu, vita ambayo inawagusa watu wengi wakubwa. mathalani, kule kitendo cha kutaifisha almasi hakiwezi kuwafurahisha mabepari. lazima watafanya jambo la kuwakwamisha ili kuwavunja nguvu.
Vita ya uchumi ni mbaya more than you think..... Huwezi kushinda vita ya Kiuchumi hata siku moja na ukabaki salama isitoshe Tanzania bado ni nchi maskini bado tunatengemea misaada kutoka kwa hao wazungu.......
Tanzania kitu ambacho haita fanikiwa kupambana na vita ya uchumi raia kutokubaliana au kutokumunga mkono rais, hapa ndiyo wazungu wanapo pata mwanya wa kufanya yao kama kudaka hizo dreamliner...
Vita ya uchumi ni bora kupambana na vikundi vya waasi kuliko vita vya uchumi
Konoike company washafungua kesi kutekeleza hukumu ya kuichukua bombardier kutokana na kuvunjwa kwa mkataba na tanroad ya tanzania. Utaratibu wa kuizuia bombardier canada unaanza.
Source:the citizen tanzania, konoike Company
Na hizi picha mnatoanga wapi?Poleni mazee, hapa naona Kama wtz mmefanya hivi..View attachment 598338
Inabidi tuchill tuone yatakayojiri[emoji3] [emoji125] View attachment 598339
Hivi walioingiza Tanzania kwenye mikataba mibovu na madeni ni upinzani ? Mnavyo comment ni kama vile Hii nchi ilikuwa ikitawaliwa na vyama vya upinzani toka ipate uhuru. Hebu oneni aibu jinsi mnavyochangia !Haya mambo tuliambia hata wakati wa ukombozi kusini mwa Afrika, kwamba tukijingiza kwenye hayo mambo, makaburu na wakubwa wa Ulaya wataumaliza. Hatuwezi kupata mapinduzi bila vodonda, tutajeruhiwa mwisho wa siku tutajuwa tumevuna nini. Tanzania ndio imeshawasha moto, nchi zingine za Afrika kama Mali Zambia na wao wananza kupata msisimuko wa kudai kilicho chao .