Bomu la Lowassa: Tumeligundua, Tunaliteguaje?

Bomu la Lowassa: Tumeligundua, Tunaliteguaje?

quote_icon.png
By Mchambuzi

Sekta ya kilimo ilikuwa inazalisha sana lakini less and less was re-invested in agriculture, na hii ni kinyume na inavyotakiwa katika mchakato wa agricultural transformatiom; Hii ikapunguza sana Ari ya wakulima kuendelea kuzalisha mazao ya biashara ambayo ndio yalikuwa yanaleta fedha za kigeni kwa serikali kuendesha mambo yake; Serikali ilifanya kosa kutumia kilimo zaidi kama sekta ya kuchota fedha from exports ya agro products, na kuzitumia kuendesha a huge and inefficient public sector, kuwaweka sawa wasomi na wakazi wa mijini in terms of employment kwenye parastatals na pia kuwapatia social services nzuri ili wasi revolt against the party and government, huku wakulima wakiwa wanaumia kupitia unfavourable producer prices

Under his Presidency, Tanzania slipped from being the largest exporter of food in Africa to the biggest importer of food.

Who was that?
 
Mchambuzi
Nadhani tunahitaji data zaidi kujua bomu limeishapanuka kiasi gani, na kwa sababu umemalizia kwa kutaja vyama vya siasa basi ni vyema tukaangalia in parallel na bomu la kisiasa ambalo nalo limeishajitega ili tu prioritize bomu la kutegua kwanza.

Nasema tunahitaji data zaidi kwa sababu, kama ni kweli tunazungumzia hii kutokea kwenye kauli za lowasa mimi kauli hizi huwa naziona ni tata sababu yeye binafsi hajawahi kutoa maelezo ya ziada zaidi ya hako ka slogan ambako nashindwa kukatofautisha na slagan ya maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana.

Bomu litalipuka namna gani? kutatokea machafuko, migomo, njaa,mapinduzi, au nini? maisha tunayoishi sasa ni sawa kabisa na watu tuliokwenye mchakato wa kurecover kutoka kwenye bomu lilikwishalipuka au sawa na kuwa bado tunaendelea kuumizwa na mpasuko wa bomu, bomu la aina yoyote ile likilupuka leo au kesho linaweza kutusukumiza kwenye hali mbaya sana na si kitu ambacho tunatakiwa kukizungumza kimzaa mzaa.

sitaki kuconlude kwamba hakuna bomu, lakini sitaki pia kuacha tabia ya watu kutoa kauli tata alafu wanakaa kimya tena na kuacha kauli zao zikitutafuna, mmoja ya hawa watu ni kikwete mwingine ni dr slaa, uniwie radhi kwa kutoka nje ya mada kidogo tu.

kikwete alipotoa kauli kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 uligubikwa na udini, tena bungeni kama sikosei, kisha akapotea, officially alifungulia milango ya watu kuanza kuzungumzia udini na kukumbatia mambo hayo, kila mtu mwenye dini anahisi kumbe 2010 mtu wa dini yake alihujumiwa, hili linatutafuna tena kama taifa tunagugumia, na sina hakika kama bomu hili limeishapasuka au bado,lakini athari wote tunaziona.

dr slaa na kauli yake kwamba ccm ikishinda nchi haitatawalika, kisha na yeye akapotea, matokeo yake matokeo yalipochakachuliwa kila mtu akawa anasubiri dr slaa aseme kitu ili aingie mtaani kufanya fujo, ccm na polisi nao wakiona mtu anatembea kwa miguu wanadhani ndio anataka kwenda kupindua serikali magogoni, why? hakuna mtu anajua nchi haitatawalika namna gani? wengine wanasema haitawaliki sababu inflation iko juu tayari. na kumbuka haya ni mambo yanayofanyika chini huku tuliko walalahoi, nalo ni bomu.

bomu la lowasa, kiasi kalidraft vizuri, linazungumzika, ila litapasuka vipi labda na mimi niendelee kufikiri na kutafiti, lakini nachojua tanzania haijawahi kuwa na unmployment rate chini ya asilimia 50%, unemployment ni sehemu kubwa sana ya maisha, ni sehemu ya mila na desturi zetu na sidhani kama ni NEWS.
 
Mimi si mchambuzi mzuri ila nina maono machache juu ya hili
1. kila kitu kinahitaji elimu: kwanza inatakiwa elimu jumla, halafu inafuata elimu/ujuzi juu kitu husika.Ili kufanikisha hili serikali haina budi hata kwa garama yeyote ile iwekeze kwenye elimu inayomjenga mtanzania kulihudumia taifa lake au hata kujiajiri mwenyewe kwa kujiamini na ufanisi zaidi. Hili halitawezekana bila kuyaweka mbele maslahi ya waalimu na vitendea kazi.
2. Hapo zamani iliwekwa darasa la saba kwamba ndio kiwango cha elimu ya msingi. hii iliweza kufanya kazi kwa wakati huo, kwanza waliokuwa wakianza masomo walikua tayari ni wakubwa na mfumo wa elimu yenyewe ilikuwa inatosha kumfanya graduate huyu aweze kulitumikia taifa, au hata kujiajiri, wengi waliweza hata kuwa waalim. kwa sasa naona darasa la saba halitoshi kutoa msingi unaotakiwa kwa mtanzania, hivyo tusikomee hapo, inabidi tuwachukue watoto angalau wafikie kidatu cha nne kama elimu yao ya msingi.

3. Inatakiwa iwepo sheria maalum ya kuwaadhibu wazazi ambao hawajawapeleka watoto wao shule pindi umri ukifika na pia kuwafuatilia pindi vijana wakiacha shule njiani.

Tukishayaweza haya ya shule, basi kila ambalo litaelekezwa kwa umma itakuwa rahisi kulifuata. Naomba serikali ihangaikie suala la elimu ya watanzania kwa nguvu zote, hali ni mbaya!
Ahsante

utaniwia radhi, sio kweli kwamba ni lazima watu woote waende shule, hali halisi inaweza ikalielezea hili vizuri zaidi. na hata nauliza, tunapoteza resources kiasi gani kuwekeza kwa wale wanaofeli masomo.

Kwa mfano ukiangalia takwimu za mchambuzi, drop out 1,000,000. tumetumia resources kiasi gani kuwaelimisha hawa ambao wamedrop? je inawezekana hawa wamefanya maamuzi ya kuachana na shule sababu wameona sio relevant kwenye maisha yao? hasa sisi tuliokwenda shule kidogo, tuwe makini kujiepusha na arrogance za kisomi wakati hazitusaidii kitu wala jamii yetu.
 
Hapo kwenye red nadhani nimepagusia hawali na my thinking nimekuelezea kilimo hakikikuwa priority ya maendeleo then na wala sasa kama unavyoona utupaji wa hela unaoendelea kwenye sera ya ‘kilimo kwanza'.

Na so far hatujaelezewa mafanikio ya hiyo sera ni ‘dejavu' za sera za kilimo Tanzania, hatuwezi kuendela kutegemea watu wakitumie kilimo kutuletea maendeleo especially kikiwa kama uti wa mgongo. There is no incentive ya maendeleo hapo isipokuwa ni maslahi ya wajanja wachache kukwepua pesa tu. Amna wakati wowote katika historia yetu tunaweza tukasema kilimo kilimwinua mtanzania wa chini na kuweza kujisadia yeye na familia yake na kumpa a sustainable life.
Hayo ni matokeo ya sera mbovu za kilimo tangia uhuru wa taifa hili, lakini ardhi hii hii ndio iliyowatijarisha wazungu na kilimo walichokifanya africa.

Suluhisho hapo ni kuwapatia ardhi watu wenye nia ya kukifanyia kazi kilimo hili kilete ajira na kuweza kusaidia taifa, linakuja swali la kusema hata wakikuza hayo mashamba leo kuna sera gani za kukuza viwanda so far amna pengine tutegemee kuuza kwenye soko la ndani la dunia soko ambalo lin an already saturated global market (new challenges arise tunalima nini and for what known global advantages), kama ni kulima for the sake of it watu kama hawana shida na maembe yako watakupa bei mbuzi hutaki wacha yakuozee, yaani it's a cycle of failures na hizi siasa zetu.

Je hapa unashauri tufanye reforms kwente land tenure system yetu? Je tufanyeje ili isimuumize mkulima mdogo wa sasa ambao ni majority katika sekta ya kilimo (small peasants) wenye heka mbili hadi tano za ardhi, na hao hapo tumfaidishe mkulima mkubwa (hasa wawekezaji wenye mitaji mikubwa ya kubadilisha kilimo kiwe large scale and more commercial)?

Kuhusu Kilimo Kwanza - NIA ni nzuri, tatizo ni utekelezaji, lakini pia nadhani tumechelewa sana katika hili; Kibaya zaidi in my view ni kwamba hatuelewi kilimo kwanza kinalenga kutupeleka wapi - je ni towards an industrial economy? Au ni towards the new economy ambayo ni service and knowledge based?

That is another way of saying ujamaa failed misery despite our arrogance, most of us in the society could not raise capital to turn those failing industries and farm into inside private entities, the only way out was to go through that outside investment and I believe this were the poor economical policies were born na mambo ya mikataba uchwara fro a desparate nation needing investment.

Sasa why do we need to look back and try to embellish that chapter of our history knowing were it left the nation not just us, but many who had similar visions?

Ni kweli kwamba Ujamaa ulikuwa na mapungufu yake mengi tu na makubwa, hasa katika utekelezaji (sio nia); Lakini kosa kubwa la wakati ule, ambalo hadi sasa linaendelea kuwa kosa ni kuiondoa serikali katika commanding heights za uchumi wa taifa; Tumeona jinsi gani Serikali ya Marekani ilivyoingilia kati suala la recession kwa kusaidia makampuni makubwa yasianguke kupitia BAIL OUTS n.k; Mwalimu katika miaka ya mwanzo ya themanini na yeye aliomba BAIL OUT/Stimulus packages kutoka WorldBank na IMF lakini wakubwa hawa walikataa kwani tayari walishajipanga kuyakwapua mashirika yetu ya umma kwa faida yao; Ni kweli kulikuwa na inefficiencies nyingi kwenye mashirika mengi ya umma lakini hii haina maana kwamba umuhimu wa mashirika ya namna hii haupo tena; Hakuna taifa kubwa duniani ambalo limepiga hatua bila ya kuwa na mashirika ya umma; Kama mengi sasa yamekuwa binafsi, basi suala hili lilikuja baadae, lakini muhimu zaidi ni kwamba, privatization kwa wenzetu haikufanywa kiholela kama kwetu, bali ilifanywa huku maslahi ya mataifa haya yakiwekwa mbele; na hata katika major emerging economies za sasa ambazo nyingine zimepiga hatua kubwa sana kama vile south korea, india, Brazil, China, ushiriki wa serikali katika uchumi, hasa kupitia mashirika ya umma was key to their economic success;
 
Mchambuzi
Nadhani tunahitaji data zaidi kujua bomu limeishapanuka kiasi gani, na kwa sababu umemalizia kwa kutaja vyama vya siasa basi ni vyema tukaangalia in parallel na bomu la kisiasa ambalo nalo limeishajitega ili tu prioritize bomu la kutegua kwanza.

Nasema tunahitaji data zaidi kwa sababu, kama ni kweli tunazungumzia hii kutokea kwenye kauli za lowasa mimi kauli hizi huwa naziona ni tata sababu yeye binafsi hajawahi kutoa maelezo ya ziada zaidi ya hako ka slogan ambako nashindwa kukatofautisha na slagan ya maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana.

Bomu litalipuka namna gani? kutatokea machafuko, migomo, njaa,mapinduzi, au nini? maisha tunayoishi sasa ni sawa kabisa na watu tuliokwenye mchakato wa kurecover kutoka kwenye bomu lilikwishalipuka au sawa na kuwa bado tunaendelea kuumizwa na mpasuko wa bomu, bomu la aina yoyote ile likilupuka leo au kesho linaweza kutusukumiza kwenye hali mbaya sana na si kitu ambacho tunatakiwa kukizungumza kimzaa mzaa.

sitaki kuconlude kwamba hakuna bomu, lakini sitaki pia kuacha tabia ya watu kutoa kauli tata alafu wanakaa kimya tena na kuacha kauli zao zikitutafuna, mmoja ya hawa watu ni kikwete mwingine ni dr slaa, uniwie radhi kwa kutoka nje ya mada kidogo tu.

kikwete alipotoa kauli kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 uligubikwa na udini, tena bungeni kama sikosei, kisha akapotea, officially alifungulia milango ya watu kuanza kuzungumzia udini na kukumbatia mambo hayo, kila mtu mwenye dini anahisi kumbe 2010 mtu wa dini yake alihujumiwa, hili linatutafuna tena kama taifa tunagugumia, na sina hakika kama bomu hili limeishapasuka au bado,lakini athari wote tunaziona.

dr slaa na kauli yake kwamba ccm ikishinda nchi haitatawalika, kisha na yeye akapotea, matokeo yake matokeo yalipochakachuliwa kila mtu akawa anasubiri dr slaa aseme kitu ili aingie mtaani kufanya fujo, ccm na polisi nao wakiona mtu anatembea kwa miguu wanadhani ndio anataka kwenda kupindua serikali magogoni, why? hakuna mtu anajua nchi haitatawalika namna gani? wengine wanasema haitawaliki sababu inflation iko juu tayari. na kumbuka haya ni mambo yanayofanyika chini huku tuliko walalahoi, nalo ni bomu.

bomu la lowasa, kiasi kalidraft vizuri, linazungumzika, ila litapasuka vipi labda na mimi niendelee kufikiri na kutafiti, lakini nachojua tanzania haijawahi kuwa na unmployment rate chini ya asilimia 50%, unemployment ni sehemu kubwa sana ya maisha, ni sehemu ya mila na desturi zetu na sidhani kama ni NEWS.

Sangarara,

Asante sana kwa mchango wako;Hoja yako ya msingi hapa nadhani ni moja: Wanasiasa wana utamaduni wa kukimbilia majukwaani kutamka maneno ili waonekane wana ufahamu, uelewa au wanajali matatizo ya wananchi, lakini ni wazito sana wa kuja na concrete answers to why tumefika tulipofika na tunatokaje; Hii pengine inatokana na utamaduni wa viongozi wetu to politicize kila kitu kwa matakwa ya kisiasa tu; Kama nipo sahihi katika hili, nakubaliana na wewe; Viongozi wetu ni wazuri sana to identify matatizo ya wananchi, lakini ni wabovu kabisa to diagnose matatizo ya wananchi; nadhani unaelewa utofuti mkubwa uliopo hapa, hasa in the context of policy formulation to respond to kero za wananchi;

Kuhusu suala la unemployment, ni kweli kabisa kwamba hiyo imekuwa ni sehemu ya utamaduni wetu; official figures miaka yote zinaonyesha unemployment Tanzania ipo kwenye kiwango cha 10-12% kwa wastani; na huwa wanakuja na takwimu hizi (wote serikali, na hata worldbank) based on surveys ambazo zinahoji watanzania iwapo wana ajira ya aina yoyote - na mtu akisema anafanya kazi ya kukwangua vocha kwenye kibanda cha kaka yake cha TIGO, huyo hasesabiwi kama unemployed; So wao wana view employment issues quantitatively, not qualitatively, which is very wrong; Mimi nadhani hata hiyo 50% ni ndogo kwani hata suala la ajira kwenye kilimo, hili nalo ni seasonal, sio throughout the year; Sina takwimu lakini ningependa kuamini kwamba unemployment rate in Tanzania is way over 50%;
 
Under his Presidency, Tanzania slipped from being the largest exporter of food in Africa to the biggest importer of food.Who was that?

Haya ndio matatizo ya copy and paste, na siamini kwamba umeshindwa kabisa angalau kubadili maana ya hiyo statement ili iendane na input yako kidogo na pia uchambuzi wako ili kufikisha ujumbe mzima, sio nusu nusu kwa nia ya kutetea utawala wenye manufaa kwako zaidi ingawa ni wa kupitia chama hicho hicho cha CCM;

Nimecopy sentensi yako yote hiyo juu neno kwa neno na ku- paste google, na nikaikuta ipo hivyo hivyo kwenye link ifuatayo:Mwalimu Nyerere | Mwalimu Julius Kambarage Nyerere - Biography

All that said and done, kabla sijakujibu swali lako kupitia jicho la mwewe na sio jicho la samaki, ningependa unijibu swali langu lifuatalo:

Je Tanzania became the largest exporter of food in Africa under whose leadership, Was it Governor Twining?
 
Je hapa unashauri tufanye reforms kwente land tenure system yetu? Je tufanyeje ili isimuumize mkulima mdogo wa sasa ambao ni majority katika sekta ya kilimo (small peasants) wenye heka mbili hadi tano za ardhi, na hao hapo tumfaidishe mkulima mkubwa (hasa wawekezaji wenye mitaji mikubwa ya kubadilisha kilimo kiwe large scale and more commercial)?

Kuhusu Kilimo Kwanza - NIA ni nzuri, tatizo ni utekelezaji, lakini pia nadhani tumechelewa sana katika hili; Kibaya zaidi in my view ni kwamba hatuelewi kilimo kwanza kinalenga kutupeleka wapi - je ni towards an industrial economy? Au ni towards the new economy ambayo ni service and knowledge based?
Ofcourse without a shadow of the doubt in my mind, more than 20 hectares kwa mgeni, zigaiwe on lease contract only au on condition za kwamba ardhi itumiwe for the for the purpose of agriculture any changes on the usage has to be negotiated with a new contract.

Kilimo kwa sasa kwa mgeni ofcourse kitakuwa ni kwa sababu ya ku-export, sidhani kama kuna mtu anataka kuja Tanzania kwa ajili ya kulima chakula au mazao ya kutungenezea mafuta kwa soko la nyumbani (Labda Mkenya). Cha kuangalia hapa ni kulinda mazingira yetu na sehemu gani tunagawa and the economic advantage kwetu hili local people wapate ajira hata za part-time, tupate na faida za ushuru ulio sawa. For the sake of doing it responsibily labda serikali itenge heka kadhaa za kufanya hivyo and not start giving out land halafu ndio kuja na mbinu za kutafuta limitations.

Kigezo kikubwa hapo nachokitumia kusema hawa watu hawawezi fanya hivyo ni kwakuwa kwao hivyo vitu vinabei na vitalipa kuliko akiuzia Tanzania. I don't see any problem in that hata huko America kuna watu wanalima for the purpose of exporting only, toafauti ni wao wanasehemu za ku-raise hizo capital hili waweze fanya hivyo. Kwetu sisi bado huko hivyo I dont see why not mgeni aje na pengine haambiwe haruhusiwi kuuza kwa soko la ndani bidhaa za shambani, unless anafungua na kiwanda cha ku-process that is when he is allowed to participate in our economy. Maana hapa hatakuwa anayo contribution kubwa kwenye uchumi na sidhani kama hatakuwa anashindana na mkulima mdogo directly.

Kilimo kwanza ni mtaji wa vigogo kuna watu wanahuwezo wa kupata hizo pesa lakini hawana ujuvi wa kukabiliana na kilimo na wamekuwa waoga kuwashirikisha wajuvi kwa hofu za kuonekana ubovu uliopo serikalini, lakini kuna wale wenye ujuvi ndio kupata hizo hela na ardhi ni kasheshe, sasa kuna kilimo kwanza hapo au huupuzi kwanza.

Kuhusu wakulima wadogo, ni kwamba wataendelea tu kuwa hivyo hivyo mpaka hapo, wahusika watakapo kuja na mbinu za kukuza viwanda hili, wawa encourage wakulima walime a diversity of products ambazo si kwa chakula bali for the industrial purposes. Watu wote hawawezi kulima ndizi moshi, nani hatamuuzia nani. Hiyo ndio trend ya wakulima wadogo tanzania wengi wamekuwa wakilima bidhaa sawa na wakitegemea kuuzia jami yao hilehile au wale jamaa wa ushirika (or somen) ununuwa na kuuza kwa jumla jumla if i am not mistaken.

Matatizo ya hawa watu yatabakia hivi for a long time without the growth of the industrial economy wa kuweza ku-process goods and encourage wakulima wadogo kuwa diverse kwenye wanacholima.

Ni kweli kwamba Ujamaa ulikuwa na mapungufu yake mengi tu na makubwa, hasa katika utekelezaji (sio nia); Lakini kosa kubwa la wakati ule, ambalo hadi sasa linaendelea kuwa kosa ni kuiondoa serikali katika commanding heights za uchumi wa taifa; Tumeona jinsi gani Serikali ya Marekani ilivyoingilia kati suala la recession kwa kusaidia makampuni makubwa yasianguke kupitia BAIL OUTS n.k; Mwalimu katika miaka ya mwanzo ya themanini na yeye aliomba BAIL OUT/Stimulus packages kutoka WorldBank na IMF lakini wakubwa hawa walikataa kwani tayari walishajipanga kuyakwapua mashirika yetu ya umma kwa faida yao; Ni kweli kulikuwa na inefficiencies nyingi kwenye mashirika mengi ya umma lakini hii haina maana kwamba umuhimu wa mashirika ya namna hii haupo tena; Hakuna taifa kubwa duniani ambalo limepiga hatua bila ya kuwa na mashirika ya umma; Kama mengi sasa yamekuwa binafsi, basi suala hili lilikuja baadae, lakini muhimu zaidi ni kwamba, privatization kwa wenzetu haikufanywa kiholela kama kwetu, bali ilifanywa huku maslahi ya mataifa haya yakiwekwa mbele; na hata katika major emerging economies za sasa ambazo nyingine zimepiga hatua kubwa sana kama vile south korea, india, Brazil, China, ushiriki wa serikali katika uchumi, hasa kupitia mashirika ya umma was key to their economic success;
Hakuna ubepari usiohusisha serikali, role ya serikali ni muhimu kuliko ubepari wenyewe (kikubwa hapa serikali za wenzetu wanachopenda kwenye ubepari ni changamoto na akili inayotumika kwenye kujiendeleza). Wao wanabakia kama responsible overseers hali za maisha na jikumu lao kuhakikisha watu wengi wanafaidika zaidi kuliko kingine ndio unaona maswala ya bail-outs. The idea behind it is to save jobs, people savings and save those institutions that are responsible for putting money in the economy which would allow the economy to grow again (especially by lending to business and enterpreneurs). Kuna mengi hapa ya kuongelea the role of government in capitalism ndio maana amna pure capitalism today only mixed economy.

Kwa hivyo serikali lazima iangalie hili suala hatuna uchumi wa marekani, hatuna matajiri wa hivyo Tanzania wakusema wanaweza exploit resources using their saving to build up an industry na hata kama wapo wenye huwezo wa-capital, inabidi tujiulize ni sababu zipi zinazuia wao kufanya hivyo, ni sera (ushuru, tenchnology or just straight naivity).

Kwa maana hiyo the government kwa hali ya sasa outright has that responsibility of improving the industrial economy huo sio ujamaa kama watafuata kanuni za biashara na soko, mpaka hapo watakapoanza na ku-set prices au kuingilia kati market forces unresponsibly ndio tatizo litakapo anza na unaweza ita sera za ujamaa.

Halafu kuna suala lingine la bureuacracy hii ni out of topic point. Tanzania ina wajanja wengi ugenini ambao walishakuwa tayari kuleta ndege kabla ‘Omary Nundu' hajafukuzwa hakawatoa baruti, halafu baadae anajidai alionewa.

Nachotaka kukwambia hapo kuna watu wanajua pa kuwapata ma-investors na hao ma-investors wameshajaribu Tanzania. Ingawa ni hela zao wanawaambia sisi tutawapeni proposal na nia zakuwekeza lakini kamwe hatuendi ku-deal na viongozi wenu yaani tanzania rushwa imetawala, ujinga wa hali juu na hao vijana kwakuwa sio watoto wa akina Lowassa amna kinachopita. Vitu ambavyo vingine vingeongeza pato la taifa na kutoa ajira it is Pathetic. Jamaa wameshakuwa demoralized na kukubali ukweli wa kufanya biashara Tanzania au kuingiza biashara kijana mdogo halafu unatoka sehemu fulani ambayo siyo, the chances are close to none.
 
Tumechelewa sana.Kilimo ni lazima kiende sambamba na viwanda.

Ni lazima tuangalie model ya uchumi wetu.Kwa uchumi ambao uko well planned ni rahisi

Hata hivyo,Model ya uchumi wetu kwa sasa haina tofauti na economic model ya India walipofanya Green Revolution.Leo hii India imepiga hatua kiuchumi kwa kutegemea kilimo na domestic industries

Pia ukifuatilia mikakati ya China kwenye the great leap(mruko mkuu) basi tunaweza kujifunza kulingana na mazingira yetu.

Hao wote walifanikiwa kwa kufanya investment kwenye elimu,nishati na maji.Hapa ndipo lilipo tatizo sasa.Wakati tunaipa nishati role kubwa katika kukuza uchumi wapo watu wanaofanya biashara na TANESCO kama tulivyoona.

Ni dhahiri kwamba ni lazima tufanye reform kwenye land policy na sheria zetu.Kilimo ni sekta inayomgusa mkulima moja kwa moja.

Tuandae mazingira ya large scale farming kulingana na vipaumbele.Kwanza tujitosheleze kwa chakula sisi na ukanda huu pamoja.Pia tupate malighafi ya kutosha viwandani.

Hata hivyo nilitegemea serikali ilipotoa mabilioni ingefikiria kutumia mabilioni hayo kama dhamana kupata fedha kwa ajili ya uwekezaji kwenye kilimo.Lowasa alikuwa PM na hilo hakuliona
 
Tumechelewa sana.Kilimo ni lazima kiende sambamba na viwanda.

Ni lazima tuangalie model ya uchumi wetu.Kwa uchumi ambao uko well planned ni rahisi

Hata hivyo,Model ya uchumi wetu kwa sasa haina tofauti na economic model ya India walipofanya Green Revolution.Leo hii India imepiga hatua kiuchumi kwa kutegemea kilimo na domestic industries

Pia ukifuatilia mikakati ya China kwenye the great leap(mruko mkuu) basi tunaweza kujifunza kulingana na mazingira yetu.

Hao wote walifanikiwa kwa kufanya investment kwenye elimu,nishati na maji.Hapa ndipo lilipo tatizo sasa.Wakati tunaipa nishati role kubwa katika kukuza uchumi wapo watu wanaofanya biashara na TANESCO kama tulivyoona.

Ni dhahiri kwamba ni lazima tufanye reform kwenye land policy na sheria zetu.Kilimo ni sekta inayomgusa mkulima moja kwa moja.

Tuandae mazingira ya large scale farming kulingana na vipaumbele.Kwanza tujitosheleze kwa chakula sisi na ukanda huu pamoja.Pia tupate malighafi ya kutosha viwandani.

Hata hivyo nilitegemea serikali ilipotoa mabilioni ingefikiria kutumia mabilioni hayo kama dhamana kupata fedha kwa ajili ya uwekezaji kwenye kilimo.Lowasa alikuwa PM na hilo hakuliona

Mkuu,
Unazungumzia viwanda gani? Sera za CCM chini ya Kikwete ni kusubiri wafadhili waje watuanzishie viwanda, jambo ambalo kamwe halitatokea? Tanzania inazalisha pamba lakini tunavaa mitumba. Go figure. Hata hiyo larger scale farming unayozungumzia ni ya kukaribisha mashirika ya kibiashara ya nchi za nje kuja kujilimia sisi tukiwa wachota maji na wakata kuni. Hakuna bado sera inayolenga kumnyanyua mkulima wa Kitanzania.
 
Tumechelewa sana.Kilimo ni lazima kiende sambamba na viwanda.

Ni lazima tuangalie model ya uchumi wetu.Kwa uchumi ambao uko well planned ni rahisi

Hata hivyo,Model ya uchumi wetu kwa sasa haina tofauti na economic model ya India walipofanya Green Revolution.Leo hii India imepiga hatua kiuchumi kwa kutegemea kilimo na domestic industries

Pia ukifuatilia mikakati ya China kwenye the great leap(mruko mkuu) basi tunaweza kujifunza kulingana na mazingira yetu.

Hao wote walifanikiwa kwa kufanya investment kwenye elimu,nishati na maji.Hapa ndipo lilipo tatizo sasa.Wakati tunaipa nishati role kubwa katika kukuza uchumi wapo watu wanaofanya biashara na TANESCO kama tulivyoona.

Ni dhahiri kwamba ni lazima tufanye reform kwenye land policy na sheria zetu.Kilimo ni sekta inayomgusa mkulima moja kwa moja.

Tuandae mazingira ya large scale farming kulingana na vipaumbele.Kwanza tujitosheleze kwa chakula sisi na ukanda huu pamoja.Pia tupate malighafi ya kutosha viwandani.

Hata hivyo nilitegemea serikali ilipotoa mabilioni ingefikiria kutumia mabilioni hayo kama dhamana kupata fedha kwa ajili ya uwekezaji kwenye kilimo.Lowasa alikuwa PM na hilo hakuliona

Mkuu,

Green revolution ya India tunaweza kuiga. Great leap forward of China was a disaster. We shouldn't emulate that. For, you need to commit a genocide for a very small gain.

Si kweli kuwa kilimo ni lazima kiendane na viwanda. Global population has reached 7 billion. That's a lot of people to feed, and a country like Tanzania could do better with her huge swaths of arable land.

The Tanzania of Today isn't the same as India of pre Green Revolution and it will be a very huge mistake to copy from India without being honest with ourselves. As a country, we love to pay lip service and we don't mean what we say.

Take for example the period when India was implementing Green Revolution in 70s. Tanzania didn't sit back and watch. With the help of international donors and financial institutions, she carried out her own plans which, due to lack of will and courage, didn't improve the food production or rescue Tanzanians from the abyss of poverty.

Z10
 
Mkuu,
Unazungumzia viwanda gani? Sera za CCM chini ya Kikwete ni kusubiri wafadhili waje watuanzishie viwanda, jambo ambalo kamwe halitatokea? Tanzania inazalisha pamba lakini tunavaa mitumba. Go figure. Hata hiyo larger scale farming unayozungumzia ni ya kukaribisha mashirika ya kibiashara ya nchi za nje kuja kujilimia sisi tukiwa wachota maji na wakata kuni. Hakuna bado sera inayolenga kumnyanyua mkulima wa Kitanzania.

Uncle J,

The failures of CCM have given you reasons to think that you aren't ULIVYO. Now you blame CCM the way Obama blames Bush.

In 70s, when the price of copper was right, for almost every dollar they received from international donors and financial institutions, the Zambians put it into investment vehicles which were grandier than what we had in Tanzania. Surprisingly, they are in the same league as your beloved motherlandia.

Don't you think that we have a bigger problem here?
 
Mkuu,

Green revolution ya India tunaweza kuiga. Great leap forward of China was a disaster. We shouldn't emulate that. For, you need to commit a genocide for a very small gain.

Si kweli kuwa kilimo ni lazima kiendane na viwanda. Global population has reached 7 billion. That's a lot of people to feed, and a country like Tanzania could do better with her huge swaths of arable land.

The Tanzania of Today isn't the same as India of pre Green Revolution and it will be a very huge mistake to copy from India without being honest with ourselves. As a country, we love to pay lip service and we don't mean what we say.

Take for example the period when India was implementing Green Revolution in 70s. Tanzania didn't sit back and watch. With the help of international donors and financial institutions, she carried out her own plans which, due to lack of will and courage, didn't improve the food production or rescue Tanzanians from the abyss of poverty.

Z10

Hapo kwa India tuige kulinga.a na mazingira yetu.Soma post yangu vizuri

Ofcourse ya China siyo lazima tuige uovu uliotumika in the process.Napinga hilo jinsi ninavyopinga ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika kutekeleza sera ya ujamaa

Pia hatuwezi kulima na kuuza nje kama hatuna processing industries.Ni lazima tuongeze value ya mazao hayo ili kupata faida kumwa na malengo ya Agriculture revolution yatimie
 
Mkuu,

Green revolution ya India tunaweza kuiga. Great leap forward of China was a disaster. We shouldn't emulate that. For, you need to commit a genocide for a very small gain.

Si kweli kuwa kilimo ni lazima kiendane na viwanda. Global population has reached 7 billion. That's a lot of people to feed, and a country like Tanzania could do better with her huge swaths of arable land.

The Tanzania of Today isn't the same as India of pre Green Revolution and it will be a very huge mistake to copy from India without being honest with ourselves. As a country, we love to pay lip service and we don't mean what we say.

Take for example the period when India was implementing Green Revolution in 70s. Tanzania didn't sit back and watch. With the help of international donors and financial institutions, she carried out her own plans which, due to lack of will and courage, didn't improve the food production or rescue Tanzanians from the abyss of poverty.

Z10

Hapo kwa India tuige kulinga.a na mazingira yetu.Soma post yangu vizuri

Ofcourse ya China siyo lazima tuige uovu uliotumika in the process.Napinga hilo jinsi ninavyopinga ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika kutekeleza sera ya ujamaa

Pia hatuwezi kulima na kuuza nje kama hatuna processing industries.Ni lazima tuongeze value ya mazao hayo ili kupata faida kumwa na malengo ya Agriculture revolution yatimie
 
Tatizo ni viongozi wetu, hasa decision makers, aidha out of ignorance or greedy wameshindwa kufanikisha mapinduzi ya viwanda Tanzania; badala ya kukabiliana na wawekezaji ili uwekezaji uwe na manufaa kukuza sekta yetu ya viwanda, wao wanaendelea tu kuwakenulia wawekezaji, kwani wanajua fika akaunti zao za Uswisi zitazidi kuwa kubwa, huku vipato vya watanzania walio wengi vikizidi kunyauka;

Hakuna Taifa lililo fanikiwa kuendeleza Viwanda kwa kutegemea nguvu za soko peke yake, na ndio maana hata Mwalimu Nyerere alifanikiwa kwa sababu kulikuwa na mkono mzito wa serikali; Kuna maeneo mengi ambayo soko huwa linafeli, hivyo yanahitaji mkono wa serikali, kwa mfano maeneo kama utafiti, miundombinu ya tekinolojia na mawasiliano, nishati, risk finance, skills, n.k, ambayo soko peke yake haliwezi kuwekeza kwa ufanisi kwani mengi ya haya yanahitaji gharama kubwa, hasa iwapo uwekezaji huu unalenga kwa wananchi walio wengi – vijijini; Soko halioni faida ya kufanya hivyo, na isitoshe, ni gharama kubwa sana ambayo ni serikali tu ndio inaweza kuibeba; Tatizo lililopo ni kwamba, sera za uliberali zinaibana serikali isifanye haya, ingawa iwapo serikali ingeamua kuwa kali kidogo, hasa kwa kuanzisha mikakati ya kujitegemea kupitia rasilimali tulizojaliwa na Mungu, na kuachana na utamaduni wa kutembeza bakuli la misaada, tungefanikiwa katika hili;

World Bank, IMF, na nchi wahisani wamekuja na Rules of the game chini ya uliberali, ambazo zinakataza serikali kujiingiza katika uwekezaji wowote mkubwa kwenye uchumi, zaidi ya matumizi ya hapa na pale kwenye sekta za afya, elimu ya msingi, sekondari kidogo, miundo mbinu na maeneo machache ambayo hayatishii interests za wakubwa; Hata kwenye suala la elimu, lengo sio ELIMU BORA, bali BORA ELIMU, ndio maana wanasiasa wetu uchwara ndani ya CCM wanaitikia kwa kufunua kinywa chote Ubeti wa Nyimbo za wahisani kuhusu mafanikio ya Elimu Tanzania, kama vile High Enrollment Rates, lakini suala la nini kinafuata baada ya hizo explosives enrollment rates in terms of learning outcomes za watoto wetu na uhusiano wake na mahitaji ya soko la ajira na mahitaji ya uchumi kwa ujumla, wimbo wa namna hiyo haujatoka bado;

Wanasiasa wetu wana tabia ya kujipongeza sana kwamba kuna inflow kubwa ya FDI Tanzania, kuliko nchi nyingine zote za Afrika Mashariki n.k, lakini wanajisahau kwamba FDI zenye manufaa kwa taifa ni zile ambazo kwanza – haziji kununua mashirika yetu ya umma na kuyafanyia assest stripping na kuondoka zao kama TRL; wanajisahau kwamba FDI zenye manufaa kwa taifa sio zile zinazokuja kutafuta management contracts kama Tanesco na TTCL, na kukimbia wakishapata chao; Wanajisahau kwamba FDI zenye manufaa kwa taifa sio zile zinazokimbilia kwenye Rasilimali zetu (madini) na kuzichimba na kubeba bila hata ya kufanya any vale addition kwenye uchumi wetu in terms of creating value chains and supply chains za maana ambazo zingetoa ajira, zingetoa fursa kwa wazalishaji wazawa kutengeneza bidhaa zinazohitajika kwenye sekta hii n.k; Badala yake, kwenye suala la madini, wawekezaji wanakuja na kila kitu – kuanzia caterpillar, screw drivers za kufanyia matengezo, na hata mafundi, mfano kampuni ya Mantrak Tanzania…

Ndio maana leo uchumi wetu unakua lakini maisha ya watanzania yanazidi kuzorota kwani wananchi walio wengi, hasa vijana, hawana ajira, hivyo kusumbuliwa na inciome poverty, Wenye vipato ni wanasiasa wanaopewa 10% kwa kila miradi hii ya kinyonyaji;

Tunachohitaji ni FDI zinazoenda kwenye manufacturing sector na kwa maelezo na maelekezo ya serikali chini ya effective industrial policy kwani kwa kufanua hivyo, FDI hizi zitaleta faida nyingi kama vile technology spill over, technology transfer n.k; Nchi zote za East Asia ambazo zilifanikiwa na Maendeleo ya Viwanda zilifanya hivyo kwa kukaidi rules of the game chini ya uliberali, na ndio maana World Bank na IMF huwa wanajikanyaga na kuwa waangalifu sana wanapotumia nchi kama South Korea kama a success story; South Korea, Taiwan, Singapore, China zote zilienda kinyume na World Bank na IMF, na taasisi hizi miaka ya sitini na sabini, zilipinga sana sera za uchumi katika nchi hizi na kuonya zitaporomoka; Ni nchi moja tu ndio iliwasikiliza wakubwa hawa – Hong Kong, na matokeo yake ni kwamba, Hong Kong ilifanikiwa kuendelea kwa miaka michache, lakini by 1990s na hadi sasa, Hong Kong imekuwa one of the a ‘classic failures' under the watch of the World Bank and IMF;

Tanzania tunaweza kufanikiwa iwapo tutajifunza kutoka kwa weznetu; Ili kufanikiwa, kuna maeneo mengi muhimu ya kuzingatia ikiwa ni pamoja na haya matatu:

  • Development of Skill Base – kupitia elimu, na uwekezaji kwenye utafiti na ubunifu, na hapa ndio suala la National Innovation Systems pia linaingia, suala ambalo mpaka leo hii, Wizara ya Sayansi na Tekinolojia wala haina habari juu ya umuhimu wa National Innovation Systems kwa taifa; Kuna Naibu Waziri kijana pale, pengine atabadilisha hili;
  • Export Promotion Strategy ambapo Manufacturing Value Added as a percentage of GDP ni muhimu iongezeke sambamba na Export of these Manufactured products - as a percentage of GDP;
  • Na tatu ni Macro Economic Management – masuala ya controlling inflation, unemployment rates, enhance economic growth with benefits that trickles down to the poor, na maeneo mengine muhimu yaku-stabilize uchumi on the macro level;

Kitu kinginge muhimu sana katika mafanikio ya viwanda ni kujenga our own TECHNOLOGICAL CAPABILITIES, lakini kama tulivyojadili, hatuwezi kujenga hili kwa kutegemea nguvu za soko peke yake, kwani soko halina muda na kuja kujengea mtu uwezo huo, bali lipo tayari kuja to take advantage of the existing capabilities, kama ilivyotokea Singapore, China n.k; Pia serikali inabidi kujenga supporting industries ambazo zitakuwa ni sehemu ya Value chains and supply chains ya Viwanda Mama vitakavyoletwa na FDI – hasa katika manufacturing sector itakayoambatana na technology transfer & spillovers kama tulivyojadili hapo juu; Yote haya ni maeneo ambayo Serikali inatakiwa iyafanyie kazi, sio nguvu za soko, kwani soko huwa linafeli katika mengi ya haya; Muhimu hapa pia ni yale maeneo tuliyojadili ya serikali kufanyia pia kazi, hasa suala la factor markets kama vile - skills development, risk finance, tech infrastructure, market information, n.k;

Viwanda Wakati wa Ujamaa
Tanzania ilifanikiwa sana katika eneo hili, hasa kipindi cha 1970 – 1977 ambapo production capacity ya viwanda vyetu ilikuwa over 70%; hiki ni kiwango cha juu sana; Lakini kutokana na sababu mbalimbali, kuanzia miaka ya mwishoni ya 70, hii capacity ikaanza kuporomoka na hatimaye kufikia karibia 40% kufikia mwaka 1984; Kuna sababu nyingi zilizopelekea kuporomoka kwa viwanda vyetu, na tumeshajadili hizi kwa kina; Lakini hapa ningependa kuongezea suala la infant industry protection policy (sera ya kukinga viwanda vya nyumbani dhidi ya ushindani kutoka nje); Sera hii ilitumika sana chini ya Import Substitution Strategy wakati wa Ujamaa;

Pamoja na umuhimu wake, infant industry protection ilifanywa kwa uholela kwani – sera hii ililenga Viwanda vyote Tanzania badala ya serikali kuwa SELECTIVE na baadhi ya viwanda ambavyo vilikuwa vinahitaji protection, huku ikiacha vile ambavyo vilikuwa na uwezo ili vishindane na bidhaa kutoka za nje/nchi jirani kama Kenya na kuzidi kujiimarisha; Serikali ilitakiwa ifanye SELECTIVITY katika hili; Vinginevyo, sera ya kukinga viwanda vyote bila ya selectivity ilichangia sana kwa viwanda vyetu kukosa ari ya ubunifu, ujenzi zaidi wa capabilities n.k, kwani "come what may, serikali ilikuwa ipo kwa ajili yao" matokeo yake yakawa ni kuanguka kwa efficiency, kuongezeka kwa ubadhirifu n.k; South Korea Serikali yao iliweka mikakati mingi sana ya kuzuia hili, ikiwa ni pamoja na performance indicators mbalimbali…

Protection ya viwanda vya nyumbani dhidi ya ushindani kutoka nje itafanikiwa iwapo tu viwanda hivyo kweli vinahitaji protection, au iwapo vile vyenye uwezo wa kushindana vinapata competition kidogo kwani hii inavifanya viwekeze zaidi kwenye capability building; Lakini tufahamu kwamba katika mazingira ya sasa, ni vigumu sana kwetu sisi kufanikisha Maendeleo ya viwanda bila kujipanga vizuri, hasa kutokana na uwepo wa China na mataifa mengine mengi ambayo yametupita sana kutokana na wao kuwekeza kwa muda mrefu katika maeneo tuliyojadili hapo juu; Mafanikio yetu yatapatikana iwapo viongozi wetu wataamua kuwekeza kwa faida ya vizazi vijavyo, lakini kwa mwendo huu wa wanasiasa wetu kukimbilia miradi ya zima moto au ile ambayo wanataka waone inafanikiwa na waache Legacy wakiwa bado HAI, hakika HATUTAFIKA;

Umuhimu Wa Sekta Ya Kilimo
Katika hoja yangu yote hapa sijataja Kilimo lakini haina maana kwamba hakina maana; Kilimo ndio nguzo yetu kuu ya kufanikisha yote haya, hasa iwapo tutalenga Mapinduzi ya Kilimo kwa dhati, na sio Kilimo Kwanza ambayo imekaa kisiasa zaidi; Bila ya Kilimo, itakuwa ni vigumu kwa nchi yetu kufanikiwa kuendeleza Viwanda kwani sekta hizi zinategemeana, na hakuna nchi iliyofanikiwa na viwanda kwa kupuuzia Kilimo; Tunachohitaji ni kuongeza Producutivity kwenye kilimo na vile vile mapato ya wakulima, na tukifanya vizuri, hasa katika GDP yenye thamani nzuri pamoja na exports, tutakuwa kwenye nafasi bora zaidi ya kupata fedha za kuwekeza kwenye sekta ya viwanda pole pole sambamba na sekta ya kilimo, na pole pole, viwanda vitaanza kuongezeka (processing factories, light manufacturing and eventually heavy manufacturing) in the long run; Isitoshe, Joseph Stiglitz, moja wa wachumi bora duniani alipata sema kwamba:

"It makes no difference whether the economy produces potato chips or computer chips, the economy should produce whatever maximizes GDP."

Tukifikia hatua ya kuwa na viwanda vya kutosha, huku kilimo nacho kikiendelea kulipa in terms of income kwa wakulima, sekta hizi pole pople zitaaza kugawana jeshi la ajira, and in the long run, sekta ya viwanda pamoja na value chains zake zile immediate lakini pia the sector servicing it, zitazidi kukua, na hivyo kusaidia dependency ya ajira kwenye sekta ya kilimo kuanza kushuka na baadae kuwa insignificant, huku vijana wakihamia kwenye industrial and service sectors; Lakini ili kufanya ajira kwenye kilimo iwe INSIGNIFICANT BAADAE, NI LAZIMA KUIFANYA IWE SIGNIFICANT LEO, kupitia an effective industrial policy kama tulivyojadili;

Umuhimu Wa Sekta Ya Madini

Nje ya Kilimo kama njia ya kupatia taifa mitaji kuwekeza kwenye viwanda, pia kuna sekta ya madini na mafuta ambazo tunaweza kuchuma huko na kupandikiza kwenye viwanda; Lakini bila ya uangalifu, sekta za madini na mafuta zinaweza kutupeleka kubaya kuliko sekta ya kilimo katika kutuendeleza kuwa taifa la uchumi wa viwanda; Ni nchi chache sana duniani zimefanikiwa kuingia katika mapinduzi ya viwanda kwa kutegema rasilimali za madini na mafuta, hivyo ni muhimu tukatambua hili na kuacha siasa za kudanganya wananchi; Hakuna kisichowezekana, lakini ni muhimu tukatambua changamoto zilizopo;
 
Hapo kwa India tuige kulinga.a na mazingira yetu.Soma post yangu vizuri

Ofcourse ya China siyo lazima tuige uovu uliotumika in the process.Napinga hilo jinsi ninavyopinga ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika kutekeleza sera ya ujamaa

Pia hatuwezi kulima na kuuza nje kama hatuna processing industries.Ni lazima tuongeze value ya mazao hayo ili kupata faida kumwa na malengo ya Agriculture revolution yatimie

Nakubaliana na hoja yako, na pia ni muhimu Zakumi akaelewa umuhimu wa viwanda na Kilimo kuwa mapacha ni nini; Kuna jeshi la ajira ambalo kwa kupenda ua kutopenda, lipo kwenye kilimo, na hivyo ndivyo maendeleo ya uchumi yanavyoanza; suala hapa ni ku accomodate jeshi hili bila kuleta disruptions zozote katika uchumi na taifa kwa ujumla; nimelijadili hili ingawa kidogo sana kwenye bandiko namba 74 ya uzi huu, maeneo ya mwisho ya bandiko hili chini ya sub-heading: Umuhimu wa sekta ya kilimo; nitalijadili kwa kina zaidi baadae;
 
Nakubaliana na hoja yako, na pia ni muhimu Zakumi akaelewa umuhimu wa viwanda na Kilimo kuwa mapacha ni nini; Kuna jeshi la ajira ambalo kwa kupenda ua kutopenda, lipo kwenye kilimo, na hivyo ndivyo maendeleo ya uchumi yanavyoanza; suala hapa ni ku accomodate jeshi hili bila kuleta disruptions zozote katika uchumi na taifa kwa ujumla; nimelijadili hili ingawa kidogo sana kwenye bandiko namba 74 ya uzi huu, maeneo ya mwisho ya bandiko hili chini ya sub-heading: Umuhimu wa sekta ya kilimo; nitalijadili kwa kina zaidi baadae;

Bravo Mchambuzi,

Nimesoma bandiko lako hapo juu pia.Huwezi kupunguza umaskini wa Tanzania bila kilimo na viwanda sambamba.Kinachoonekana hata katika sera zetu za uchumi hatujaangalia ni Technology ipi itumike kati ya labour intensive au capital intensive.

Kama tunataka kutoa suluhisho la matatizo ya ajira hata kwenye hizo processing industries ni lazima tutumie labour intensive.Ni choice.Ni jambo la ajabu hata inflow ya FDI serikali haijawa strict katika hili

Pia kwa mwanauchumi mzuri ni lazima tuelewe private investment inafuata profit na mengine baadae.Kwa mfano investment kwenye heavy industries kama Railway,Fertilizers na steel mara nyingi serikali ndiyo hufanya investment

Pia investment kwenye viwanda vya kutengeneza machine and other public utilities ni lazima zitegemee serikali

Hizo rule of games ukizifuata hivyo hutafanya kitu na kweli kama ulivyosema Asia walikaidi.Tumeshuhudia jinsi India na US walivyosuguana kule DOHa kwenye mkutano wa WTO juu ya ruzuku kwa wakulima.

IMF wakikusifia ujue unaumiza taifa na wananchi wako

China nayo ina mgogoro sasa hivi na inaongoza kundi la BRICS kupinga mataifa makubwa kutoa ruzuku kwa wakulima wao halafu wanaitumia IMF na WB kufanya advocacy sera ya uliberali.

Hapa EAC sisi kwa mfano,tunaongelea Tarrif free lakini wengine ndiyo wanaonufaika na hii policy.Hatuna industries za kutosha na Kenya inazo nyingi.Volume of trade especially manufacturing sector between Tanzania and Kenya ipo in favour of Kenya.Hatuna plans na tunaangalia kushinda uchaguzi tu.
 
Hapo kwa India tuige kulinga.a na mazingira yetu.Soma post yangu vizuri

Ofcourse ya China siyo lazima tuige uovu uliotumika in the process.Napinga hilo jinsi ninavyopinga ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika kutekeleza sera ya ujamaa

Pia hatuwezi kulima na kuuza nje kama hatuna processing industries.Ni lazima tuongeze value ya mazao hayo ili kupata faida kumwa na malengo ya Agriculture revolution yatimie

I am not against the industrialization and this isn't the debate in which we have to answer what started first? Chicken or egg? Taking into account all variables we have, Tanzania should industrialize her agriculture first. The factory to process agriculture products should come second.

I am saying this because by my own definition industrialization is the process of moving from basic means of production to the ones that use advance machinery. The goals are to increase productivity, and cut the running costs. Other economic and social benefits that come with this process such as formal employment are commentaries.

Now, in Tanzania, we never viewed farming or agriculture as a production process. As such, little have been made to industrialize farming or related activities in agriculture sector. Our farmers and peasants still use primitive methods. Our agriculture output is one of the lowest in the world and it doesn't make any sense to have processing plants when there's nothing to process.

How do you establish a rice processing plant, when the rice from Thailand or Vietnam is cheaper than one produced locally?
 
Nakubaliana na hoja yako, na pia ni muhimu Zakumi akaelewa umuhimu wa viwanda na Kilimo kuwa mapacha ni nini; Kuna jeshi la ajira ambalo kwa kupenda ua kutopenda, lipo kwenye kilimo, na hivyo ndivyo maendeleo ya uchumi yanavyoanza; suala hapa ni ku accomodate jeshi hili bila kuleta disruptions zozote katika uchumi na taifa kwa ujumla; nimelijadili hili ingawa kidogo sana kwenye bandiko namba 74 ya uzi huu, maeneo ya mwisho ya bandiko hili chini ya sub-heading: Umuhimu wa sekta ya kilimo; nitalijadili kwa kina zaidi baadae;


Mchambuzi,


The only way Tanzania can come out of her troubles is to industrialize agriculture itself.

In America 5% percent of the population are farmers. They produce enough to feed the country and other nations. What's more, it's to easy to build factories around them.

In Tanzania 85% are farmers or peasants. They don't produce enough to feed themselves or the nation. Yet you still think that you can easily build factories that take advantage of their products.
 
I am not against the industrialization and this isn't the debate in which we have to answer what started first? Chicken or egg? Taking into account all variables we have, Tanzania should industrialize her agriculture first. The factory to process agriculture products should come second.

I am saying this because by my own definition industrialization is the process of moving from basic means of production to the ones that use advance machinery. The goals are to increase productivity, and cut the running costs. Other economic and social benefits that come with this process such as formal employment are commentaries.

Now, in Tanzania, we never viewed farming or agriculture as a production process. As such, little have been made to industrialize farming or related activities in agriculture sector. Our farmers and peasants still use primitive methods. Our agriculture output is one of the lowest in the world and it doesn't make any sense to have processing plants when there's nothing to process.

How do you establish a rice processing plant, when the rice from Thailand or Vietnam is cheaper than one produced locally?

Don't you see the correlation between this post and the concept in my post above?
 
I think I stated this sometime ago, we have a school of thought in Tanzania which involves Politicians and Economists who assume and think that there is no need to be inventive and create jobs. I wthink we have become so dependent of aid and cash received as taxes we have delibarately run out and run down any ideas and logical thinking of creating industries especially processing industries to add value to our raw materials and goods produced by our 80% wakulima uchwara (yes ni ukulima uchwara kwa maana ya kujikimu na kubahatisha na si kwa mfumo wa kibiashara na uzalishaji kujipatia ziada).

One of the tragedies of our Cash only system is that as long as one has hard cash, we see no need to invest or re-generating more by using it as capital to be injected into production.

We will continue to be poor and ubahatishaji!
 
Back
Top Bottom