Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Jana mashabaki wamekosa Kandanda Safi...Pole zao, naona Europe inakosa usalama sasa, washukuru Mungu BuS liko bullet proof.
Haha Mambo yaugaidi hayana Simile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana mashabaki wamekosa Kandanda Safi...Pole zao, naona Europe inakosa usalama sasa, washukuru Mungu BuS liko bullet proof.
Borussia Dortmund ni klabu ya Mpira kutoka German-(Ujerumani).Sawa tunashukuru kwa taarifa ila Borissia ndio timu ya wapi?
Ujerumani kunakundi moja linajiita PEGIDA linapinga wahamiaji hasa Waislam.Hili suala la wanaoitwa "wahamiaji" kwenda nchi za ulaya utakuja kuniambia mbeleni impact yake
Hivi ni kwanini iraq waliivamia usa na kusababisha hadi usa haijatulia hadi leo, huyu sadam amesababisha hadi bush kanyongwa, think big.Hawa watakuwa vitukuu wa Ishmael tu,hivi kama hawawapendi wazungu,wanakimbilia nini huko?