Alisina JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 4,178 Reaction score 4,449 Apr 12, 2017 #21 bbade said: Pole zao, naona Europe inakosa usalama sasa, washukuru Mungu BuS liko bullet proof. Click to expand... Jana mashabaki wamekosa Kandanda Safi... Haha Mambo yaugaidi hayana Simile.
bbade said: Pole zao, naona Europe inakosa usalama sasa, washukuru Mungu BuS liko bullet proof. Click to expand... Jana mashabaki wamekosa Kandanda Safi... Haha Mambo yaugaidi hayana Simile.
Alisina JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 4,178 Reaction score 4,449 Apr 12, 2017 #22 makalango said: Sawa tunashukuru kwa taarifa ila Borissia ndio timu ya wapi? Click to expand... Borussia Dortmund ni klabu ya Mpira kutoka German-(Ujerumani).
makalango said: Sawa tunashukuru kwa taarifa ila Borissia ndio timu ya wapi? Click to expand... Borussia Dortmund ni klabu ya Mpira kutoka German-(Ujerumani).
Alisina JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 4,178 Reaction score 4,449 Apr 12, 2017 #23 avogadro said: Hili suala la wanaoitwa "wahamiaji" kwenda nchi za ulaya utakuja kuniambia mbeleni impact yake Click to expand... Ujerumani kunakundi moja linajiita PEGIDA linapinga wahamiaji hasa Waislam. Sasa naona watu walio wengi wanashindwa kutofautisha Uislam na Ugaidi.kwakeli Uislam nyakati hizi wanakazi kubwa yakuwaaminisha watu kwamba Islamic is a religion of Peace!
avogadro said: Hili suala la wanaoitwa "wahamiaji" kwenda nchi za ulaya utakuja kuniambia mbeleni impact yake Click to expand... Ujerumani kunakundi moja linajiita PEGIDA linapinga wahamiaji hasa Waislam. Sasa naona watu walio wengi wanashindwa kutofautisha Uislam na Ugaidi.kwakeli Uislam nyakati hizi wanakazi kubwa yakuwaaminisha watu kwamba Islamic is a religion of Peace!
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Apr 12, 2017 #24 Victoire said: Hawa watakuwa vitukuu wa Ishmael tu,hivi kama hawawapendi wazungu,wanakimbilia nini huko? Click to expand... Hivi ni kwanini iraq waliivamia usa na kusababisha hadi usa haijatulia hadi leo, huyu sadam amesababisha hadi bush kanyongwa, think big.
Victoire said: Hawa watakuwa vitukuu wa Ishmael tu,hivi kama hawawapendi wazungu,wanakimbilia nini huko? Click to expand... Hivi ni kwanini iraq waliivamia usa na kusababisha hadi usa haijatulia hadi leo, huyu sadam amesababisha hadi bush kanyongwa, think big.