Bomu liko katika hatua za mwisho lilipuke, Ila Serikali inao uwezo mkubwa wa kulitegua ili lisilipuke

Sasa inakuwaje nyie wanyonge wengi mnashindwa na wapigaji wachache?
Fanyeni hivi:
1-wanyonge watetezi wa Maguu tiririkeni
2-wenye akili zetu tuacheni tuendelee kumkosoa
Unapomkosoa marehemu asiyeweza kujirekebisha jua na wewe ni marehemu kichwani!! Ndiyo maana hata hukumu ya kifo inapingwa kwa sababu marehemu hawezi kujirekebisha!!
 
Doh!

Na ndiyo maana nikasema! Mengine ni ya kuyaacha tuu, ila mjadara huu usio na faida kwenye nchi yetu ukafungwa basi!

Huu mjadara, unasababisha tusijadili mambo ya mhimu ya nchi yetu!

Unatusahaulisha kumtaja taja hata Raisi wetu wa sasa
Hujakatazwa kujadili mambo mengine ya kitaifa. Anzisha mada ya hayo ya kitaifa watakaokuwa interested kujadili wanafanya hivyo lakini hakuna sababu ya kufunga mjadala kuhudu JPM. Kama wewe hupendi ajadiliwe ignore threads zote zinazomjadili JPM. Endelea na maisha yako.
 
JK amekufa? Akisemwa vibaya au vizuri anaweza kujibu!! Why anateuliwa kufanya jambo? Kwa sababu ya mema yake na kwa sababu yu hai!!
Unapomkosoa marehemu asiyeweza kujirekebisha jua na wewe ni marehemu kichwani!! Ndiyo maana hata hukumu ya kifo inapingwa kwa sababu marehemu hawezi kujirekebisha!!

Quote Reply
 
Kwa mtu mwenye akili na hekima na akiwa ana dhamana ya uongozi ,makosa ya marehemu yanarekebishwa kimya kimya.tukiona unamsema vibaya marehemu tunajua kichwani hazimo kabisa na unataka kutuletea balaa.

Mfano wa kurekebisha makosa ni kama hili la kupandisha kima cha mshahara,nyongeza ya mishahara etc.kama yalikuwa ni makosa kutofanya hivyo sasa kosa limerekebishwa kwa matendo mema.Igeni kwa Nelson Mandela,Igeni kwa Isa Bin Mariam,etc
 
Livumiliwe tu, ni hasira za watu fulani waliosemwa, walionangwa n.k. Kiukweli wapo waliotamani awe hai hadi atakapomaliza muda wake ili wameme mbele ya macho yake, sasa kaakuwa limetokea hilo basi wanaamua aaendelee tu hivyo hivyo!
 
hilo bomu umelitega wewe? Acha kutishia watu we nyau mdogo sana
 
K

Tukutane 2025 mtaifahamu kanda ya ziwa
we nyau kanda ya ziwa haiwezi kuamua kura ya nchi. Kuzaliana kwenu hovyo kusiwatishie watanzania, hii nchi kubwa. Hata hivyo kanda ya ziwa hawana mawazo km ya kwako hayo ni yako kaa nayo mwenza wako. Kila mara kanda ya ziwa kanda ya ziwa tumewachoka na ushamba huo
 
Sasa kama alikuwa fedhule unataka tumsifie.
 
JPM aliumiza wachache Ili kuponywa mamilion ya watu.
Wewe mwenzetu uliponaje kati ya hao mamilioni? Bei kushuka, kupanda ndege bure, kwenda kutembelea mbuga ya wanyama Chato.
Kutua kwenye uwanja wa kimataifa ukitokea Kigali?

Hayo ndo maswali ya kujibu. Kwa kuongezea ulipokea vitia barabarani na je ni mshahara wa Mwenda zake, ulishuhudia makinikia yakitoa dhahabu na almasi na lulu.

waliotumbuliwa kwa vyeti feki ulifanya sherehe kusherekea sababu kati ya hao wengine mlikuwa ofisi moja. Watu walipotea baada ya kugusa jiwe na ma phd yake.

Ben mara ya mwisho alisikika anakwenda uwanja wa ndege baada ya hapo simu ilizima na yeye akapotea ulifurahi sana je? Azori na wengi hasa wale wa kwenye viloba.

Je akina Rugemalila waliposoteshwa wakati walisign mikataba wapo huru uliona raha sana?
 
kwamba jpm anapata shida[emoji28][emoji28]

ugua magonjwa yote ila sio ya kisaikolojia.

kwa namna trend inavyokwenda wahanga wa jpm wanaumia kila uchwao mpaka inashangaza,how.
 
nyinyi wajinga ndio mtawaponza ccm 2025.

kwa akili hizi za kimtama mtama ngoja mtaona.
 
mkuu kufilimbwa utaendelea kufilibwa hata baada ya jpm kuondoka.

ninachokiona utajipa imani kwamba atleast anayetoa amri sio jpm dhalimu,chunga tako lako kisawa sawa.
kura zitapigwa tena na hakuna kitu utafanya zaidi ya kupiga kelele unataka katiba mpya.
 
BENEFIARIES V/S OPRESSED DIARY,
That's all.
Si vyema kushindana na muumba, akiamua ni kwa upendo wake asipotaka haliwi, lissu alikungutwa manjugu lakini hakufa reasons muumba hakutaka, Ni wapumbavu na wasioamini mungu watazungumza wapendavyo, ukweli ni kwamba mungu amempenda na amemtwaa kwa upendo wake nani lazima tuelewe akumtwaa kwa ubaya bali mpango wake utimie kwa jinsi maulana apendavyo,
Rest well JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…