Bondia Abdul Ubaya akabidhiwa milioni 5 za Mama

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mapema leo Katibu mkuu wa wizara ya Utamaduni,Sanaa na michezo Gerson Msigwa amkabidhi shilingi Milioni 5 bondia Abdul Ubaya kama zawadi Mara baada ya kushinda pambano lake lililofanyika oktoba 25,2024 nchini Urusi.

Pambano hilo alishinda kwa KO na kufanikiwa kubeba Mkanda wa WBA ASIA.

Zawadi hiyo imetolea katika Uwanja wa Benjamini Mkapa, hii inakuwa kama Motisha kwa Mabondia wengine kufanya vizuri nje ya Nchi ili kuipeperusha vyema Bendera ya Nchi.
Your browser is not able to display this video.
 
Piga kelele kwa ngumi yakeeee....
Ngumi ya mam hoyeeee
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…