a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
HUU SIO MCHEZO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesha chelewa, huu mchezo ni ajira na una body na viongoz wake na uwakilishi kimataifa. Ajali kama hizo hutokea sanaHuu mchezo upigwe marufuku nchini haraka
Thamani yake inapanda maana ana rekodi ya kuua ulingoni.Halafu huyo aliyempiga mwenzake atajisikiaje? by the way hii ni aina ya michezo nisiyoipenda.inakuwa burudani mtu anapoumizwa
Walikatazwa maana wanajulikana hawana nguvuWalikatazwa huu mchezo zbar sasa wanakiuka ya waasisi?
Na umeondoka na mtuHii ndio sababu marehemu Shekh Abeid Amani Karume alipiga marufuku mchezo huu mpaka ulipokuja kuruhusiwa na Hussein Mwinyi.
Kafa wetu bondia wa Dar mla chips yai urojooWalikatazwa maana wanajulikana hawana nguvu
Huwez kula urojo ukapigana masumbwi
volent non fit injuria!Halafu huyo aliyempiga mwenzake atajisikiaje? by the way hii ni aina ya michezo nisiyoipenda.inakuwa burudani mtu anapoumizwa