pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Amekaa kweliAJ lazma akae mapema mno
Amekaa kweli
Pambano limekwisha round ya 7
Antony Joshua kapigwa kipigo cha mbwa, kapigwa knock out.
All in all Wamexico sio watu wa mchezo kabisaIla Antony Joshua nimegundua hana defence nzuri. Yeye kazi kurusha killer punches ila opponent aki stand ground aka counter act hapo hapo anapigika kiuwepesi sana.
Ni kama Wilder pia hadefend vizuri yeye anataka akikupiga moja akuue.
All in all ukiangalia hili pambano ni kama vile AJ alikua na confidence ya kupitiliza sana. Do not ever underestimate the power of your opponent.
All in all Wamexico sio watu wa mchezo kabisa
Pole....AJ atashinda mapema tu
Wazee wa ramliTipwa tipwa Ruiz atapigwa mapema sana. Kwanza ana makosa mengi, akikutana na huyo Antony Joshua akafanya makosa ya kipuuzi kama alivyozoea yatamgharimu mapema kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Wazee wa ramli
Kwema!
Ova
Andy Ruiz anamzid Joshua almost 10kg amepigana 33 kapigwa mara moja tu na kapiga knockout 22 ukijumlisha na hiyo ya Josh vilevile ni Raia wa Mexico Kwa vyovyote Josh asingeweza kushindaKapigwa mapema
Yeyote atakaye jipendekeza kwa Ruiz lazma achezee kichapo believe or not labda Mexicana mwenzie not otherwiseWilder kashaanza kuongea shit huko mtandaoni, nadhani kafurahi sana maana anajua anaenda kujichukulia mikanda kirahisi kwa Ruiz[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1115232
Hayo sasa mahaba,kuna mahusiano gani ya Mexico na kutopigwa[emoji3][emoji3], mbona Andy Ruiz alishapigwa na Parker ? Even Canelo 'face wao' alichakazwa vibaya na MayweatherAndy Ruiz anamzid Joshua almost 10kg amepigana 33 kapigwa mara moja tu na kapiga knockout 22 ukijumlisha na hiyo ya Josh vilevile ni Raia wa Mexico Kwa vyovyote Josh asingeweza kushinda