Bondia azichapa na refa ulingoni

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwamuzi Said Mkonde apigana na bondia Said Likaule baada ya kutokea mtafaruku baina ya wawili hao ulingoni.

Mkonde alimaliza pambano kutokana na kile kilichotokea ulingoni kitendo ambacho kilichosababisha Likaule kupandwa na jazba na kupigana na mwamuzi huyo.

Ikumbukwe mwamuzi huyo aliwahi kuwa bondia wa ngumi za kulipwa kabla hajaingia kwenye fani ya uamuzi.

Wakati Mkonde akiwa bondia alipigana mapambano saba na kupigwa mapambano yote na kati ya hayo sita alipigwa kwa ‘KO’ hajawahi kushinda hata pambano moja wala kutoa sare.

Your browser is not able to display this video.
 
Kideo kipo wapi?
 
Wakati Mkonde akiwa bondia alipigana mapambano saba na kupigwa mapambano yote na kati ya hayo sita alipigwa kwa ‘KO’ hajawahi kushinda hata pambano moja wala kutoa sare.😂😂😂
Hili la nane🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…