Bondia Dula mbabe wa Tanzania ashushiwa kichapo kizito huko Uk

Bondia Dula mbabe wa Tanzania ashushiwa kichapo kizito huko Uk

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Bondia mtanzania abdalah Pazi maarufu kama dulla mbabe, amekumbana na kadhia baada ya kushushiwa kichapo cha kwenda na bondia toka United kingdom , dulla mbabe amepigwa ngumi mfululizo za mdomo na jicho huku ngumi zingine zikimpata kidevuni na puani, hali iliyopelekea apepesuke na kupoteza mchezo katika round za awali kabisa.
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1711910970521.mp4
    2.8 MB
Huyo Simpson yuko vzr...dullah aliyavagaa pale
Ova
 
Bondia mtanzania abdalah Pazi maarufu kama dulla mbabe, amekumbana na kadhia baada ya kushushiwa kichapo cha kwenda na bondia toka United kingdom , dulla mbabe amepigwa ngumi mfululizo za mdomo na jicho huku ngumi zingine zikimpata kidevuni na puani, hali iliyopelekea apepesuke na kupoteza mchezo katika round za awali kabisa.
Ilikuaa Round ya 4.
Mwamba kayakanyaga ya beberu
 
Bondia mtanzania abdalah Pazi maarufu kama dulla mbabe, amekumbana na kadhia baada ya kushushiwa kichapo cha kwenda na bondia toka United kingdom , dulla mbabe amepigwa ngumi mfululizo za mdomo na jicho huku ngumi zingine zikimpata kidevuni na puani, hali iliyopelekea apepesuke na kupoteza mchezo katika round za awali kabisa.
Hawa Mabondia wa nje Kuna vitu sijui wanapewa,jamaa ila huyo mwamba haijawahi kupoteza hata pambano moja,Kuna yule Mapafu ya Panya ALIPIGWA mpaka kalazwa hospital na Drip juu,sasa hivi anapiga kelele mitaa ya MABIBO huko.
 
Bondia mtanzania abdalah Pazi maarufu kama dulla mbabe, amekumbana na kadhia baada ya kushushiwa kichapo cha kwenda na bondia toka United kingdom , dulla mbabe amepigwa ngumi mfululizo za mdomo na jicho huku ngumi zingine zikimpata kidevuni na puani, hali iliyopelekea apepesuke na kupoteza mchezo katika round za awali kabisa.
Mzaramo ameshapewa dola zake kadhaa..hana chakupoteza uzuri ndugu zangu watu wa kuridhika.
 
Back
Top Bottom