mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
- Thread starter
- #21
Huyu ni mla ugali dona toka uzaramuni, pesa yote anayopataga huwa anaiwekeza katika ugali dona na tembele la kuchuma, kwa kifupi jamaa ni mganga njaa anaeendesha maisha yake kwa kupigwa ulingoniHuyu mbabe nae ashakua kama mandonga sasa, maneno mengi akiingia ulingoni deile anagongwa.