mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
- Thread starter
-
- #21
Huyu ni mla ugali dona toka uzaramuni, pesa yote anayopataga huwa anaiwekeza katika ugali dona na tembele la kuchuma, kwa kifupi jamaa ni mganga njaa anaeendesha maisha yake kwa kupigwa ulingoniHuyu mbabe nae ashakua kama mandonga sasa, maneno mengi akiingia ulingoni deile anagongwa.
Dula mbabe ni kituko, siku moja, kabla ya pambano lake na bondia katompa kutoka congo, jamaa alikuwa kwenye harusi uswahilini, akakesha anakula mapilau na minyama plus misoda akavimbiwa kesho yake akawa anasinzia hovyo ulingoni, alipigwa ngumi kama 16 zakidevu akatema maji, ndo ikawa baba jeni bye byeNimeangalia hili pambano, yani ni kama Mtibwa vs Liverpool.
Dulla alikua anarusha ngumi hovyohovyo kama mlevi na kuacha uso wazi.
Halafu alikua mchafu, bukta lenyewe kubwa halimtoshi mpk kalikunja kiunoni kama dera, sijui nani kamvalisha.
Pole yake, kazidiwa sana.Bondia mtanzania abdalah Pazi maarufu kama dulla mbabe, amekumbana na kadhia baada ya kushushiwa kichapo cha kwenda na bondia toka United kingdom , dulla mbabe amepigwa ngumi mfululizo za mdomo na jicho huku ngumi zingine zikimpata kidevuni na puani, hali iliyopelekea apepesuke na kupoteza mchezo katika round za awali kabisa.
Mkuu watu wenyewe wakishapata umaarufu au pesa wanakua chawa wanaanza mambo ya asante mama sijui nini nini huku watu hatuna umeme hatuna ajira, mafuta na sukari vyote bei juu sasa kwanini tusishangilie na wao wakipotezaWatanzania wanashangilia na kufurahia mtanzania mwenzao kapigwa kwenye ndondi. Safari bado refu
Mbabe kawa mnyonge, anyway pongezi ziende kwa mama na serikali ya awamu ya 6 😂🤣
Tunamshukuru Rais Samia kwa kumuwezesha!Watanzania wanashangilia na kufurahia mtanzania mwenzao kapigwa kwenye ndondi. Safari bado refu
We ulitegemea dulla atashindaWatanzania wanashangilia na kufurahia mtanzania mwenzao kapigwa kwenye ndondi. Safari bado refu
Solidarity foreverSasa mkuu, Kwani ni makosa watu kushangilia mtu akikandwa katika ndondi?