Bondia Fadhili Majiha inabidi apewe heshima yake

Bondia Fadhili Majiha inabidi apewe heshima yake

ToniXrated

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,134
Reaction score
2,993
Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.

Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.

1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
 
Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.

Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tz.

Fadhili Majiha.
Twaha Kiduku
Mwakinyo
Selemani kidunda
Ibrahim Classic mawe.
Awadh Tamim
Picha muhimu wengine hawamjui

Fadhili Majiha 👇 alieshika kombe
Screenshot_20221105-014223.png


Screenshot_20221105-015422.png
 
Awadh Tamim huyu anaeishi nje ya nchi?
Yule kwenye kideo cha prof jize hapo vipi hapo sawa?
 
Hapa kwenye haya mambo kila mtu atasema bondia anayotoka mkoani kwao ni bora ukienda tanga ukiwauliza watakwambia mwakinyo ni namba moja ukienda morogoro watakwambia twaha kiduku ni balaa hivyo kila mtu abaki na anacho kiamini ila kwa Tanzania na east Africa kwa ujumla mwakinyo ndio anaongoza kwasababu wana chama chao na taratibu zao wanasema mwakinyo ni namba moja kwa takwimu hao wengine wafuate taratibu na sheria za ngumi siku moja watafika alipofika mwakinyo ila huko ni kumkosea adabu mwakinyo kumuweka hyo nafasi.
 
Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.

Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.

1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim

Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.

Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.

1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
Mandonga mtu kazi mbona hujamuweka,,😄😄😄😄😄😄😄
 
Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.

Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.

1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
Wapi Bondia Mandonga bondia mwenye upako wa ngumi kukufuata hadi chumbani kwa wakwezo
 
Hapa kwenye haya mambo kila mtu atasema bondia anayotoka mkoani kwao ni bora ukienda tanga ukiwauliza watakwambia mwakinyo ni namba moja ukienda morogoro watakwambia twaha kiduku ni balaa hivyo kila mtu abaki na anacho kiamini ila kwa Tanzania na east Africa kwa ujumla mwakinyo ndio anaongoza kwasababu wana chama chao na taratibu zao wanasema mwakinyo ni namba moja kwa takwimu hao wengine wafuate taratibu na sheria za ngumi siku moja watafika alipofika mwakinyo ila huko ni kumkosea adabu mwakinyo kumuweka hyo nafasi.
Mabondia wanawekwa kwenye ranks kutokana na uzito wao, kwenye uzito wake Mwakinyo ndo anaongoza..
 
Sasa si kaptula tu mbon wengine wanavaa hata za Britain mboni hauhoji?
Sasa hao si umewaona wewe?mimi nimemuona huyu.... Halafu pia nadhani kuhoji ni akili. Wengine hawana akili za kuhoji. So kama wewe huhoji si kosa langu....
 
Back
Top Bottom