Bondia Fadhili Majiha inabidi apewe heshima yake

Bondia Fadhili Majiha inabidi apewe heshima yake

Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.

Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.

1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
7. Mandoga Mtu Kazi Mzee wa Ndoige na Pelesu Pelesu [emoji23]
 
Oscar Richard,huyu jamaa anajua Sana ...anatokea mabibo.[emoji106]
 
Back
Top Bottom