ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
Ni boxer anaejua sana ila amekuwa hasemwi sana na media. Ameshinda pambano uingereza ila hakuna aliyemzungumziaSema amefanya nini
Picha muhimu wengine hawamjuiHongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.
Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tz.
Fadhili Majiha.
Twaha Kiduku
Mwakinyo
Selemani kidunda
Ibrahim Classic mawe.
Awadh Tamim
Ni Mmarekani?Picha muhimu wengine hawamjui
Fadhili Majiha π alieshika kombe
View attachment 2407076
View attachment 2407077
MtanzaniaNi Mmarekani?
Fadhili MajihaUnsung hero
Hahaha. Imebidi nicheke.Ni Mmarekani?
Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.
Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.
1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
Mandonga mtu kazi mbona hujamuweka,,πππππππHongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.
Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.
1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
Hiyo kaptula amevaa ya bendera ya marekani. Why?Mtanzania
Kabisa aiseeee......Hahaha. Imebidi nicheke.
Bila Shaka hiyo Bukta ya bendera ya Marekani imekuchanganya!
Sasa si kaptula tu mbon wengine wanavaa hata za Britain mboni hauhoji?Hiyo kaptula amevaa ya bendera ya marekani. Why?
Wapi Bondia Mandonga bondia mwenye upako wa ngumi kukufuata hadi chumbani kwa wakwezoHongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.
Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.
1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani kidunda
5/ Ibrahim Classic mawe
6/ Awadh Tamim
Kumbe kwenye ngumi nako kuna makombe?Picha muhimu wengine hawamjui
Fadhili Majiha [emoji116] alieshika kombe
View attachment 2407076
View attachment 2407077
Mabondia wanawekwa kwenye ranks kutokana na uzito wao, kwenye uzito wake Mwakinyo ndo anaongoza..Hapa kwenye haya mambo kila mtu atasema bondia anayotoka mkoani kwao ni bora ukienda tanga ukiwauliza watakwambia mwakinyo ni namba moja ukienda morogoro watakwambia twaha kiduku ni balaa hivyo kila mtu abaki na anacho kiamini ila kwa Tanzania na east Africa kwa ujumla mwakinyo ndio anaongoza kwasababu wana chama chao na taratibu zao wanasema mwakinyo ni namba moja kwa takwimu hao wengine wafuate taratibu na sheria za ngumi siku moja watafika alipofika mwakinyo ila huko ni kumkosea adabu mwakinyo kumuweka hyo nafasi.
Sasa hao si umewaona wewe?mimi nimemuona huyu.... Halafu pia nadhani kuhoji ni akili. Wengine hawana akili za kuhoji. So kama wewe huhoji si kosa langu....Sasa si kaptula tu mbon wengine wanavaa hata za Britain mboni hauhoji?