Bondia Hamis Mwakinyo afungiwa kupigana Kwa kipindi Cha mwaka mmoja

Bondia Hamis Mwakinyo afungiwa kupigana Kwa kipindi Cha mwaka mmoja

kukumsela

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
725
Reaction score
917
Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini TPBRC, imemfungia kwa muda wa mwaka mmoja bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo kufuatia kitendo chake kugomea kupanda ulingoni katika pambano lililoandaliwa na Kampuni ya PAF Promotion mwezi uliopita.

Mbali ya kumfungia kwa mwaka mmoja, TPBRC chini ya katibu wake George Silas imempiga faini ya shilingi milioni moja huku ikisisitiza adhabu hiyo haiwezi kuzuiwa PAF kwenda mahakamani kama walivyoeleza kwenye taarifa zao kwa waandishi wa habari.
 
Back
Top Bottom