dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Kila pambno lake anaweka vigisu ninwasi Sasa njama zinatumika kumdidimiza mwakinyo kwa kile kitendo chake Cha kujifanya don care kwa vile ndugu yake anaweza kumkingiwa kifuwaa na naibu waziri wa michezo mh hamis mwinjuma
Jana tulikaa had saa Tisa kwenye mabaar na kusababisha mm kupata hasra za bia za elf 50 nilizo kunywa nikisubiria pambno lake
Hi ni mara ya tatu bondia huyu anatudispoint watz wependa ngumi
Kwa mwenendo huu pambano lake lolote halita kuwa na mvuto labda apigane na kiduku arejeshe makali yake vinginevyo aletewe yule msouth aliye mpiga kiduku ,na selemani kidunda kwa pambano Hilo nitalitazama
Je, sababu zipi zimetolewa kwa pambano lakke kuto kuchezwa
Jana tulikaa had saa Tisa kwenye mabaar na kusababisha mm kupata hasra za bia za elf 50 nilizo kunywa nikisubiria pambno lake
Hi ni mara ya tatu bondia huyu anatudispoint watz wependa ngumi
Kwa mwenendo huu pambano lake lolote halita kuwa na mvuto labda apigane na kiduku arejeshe makali yake vinginevyo aletewe yule msouth aliye mpiga kiduku ,na selemani kidunda kwa pambano Hilo nitalitazama
Je, sababu zipi zimetolewa kwa pambano lakke kuto kuchezwa