April 2, 2020
Wachambuzi wa nyota ya Mwakinyo kufifia watoa sababu:
Mabondia walioitumikia Tanzania kwa muda mrefu na uzoefu wa kimataifa waelezea sababu ya ranking ya Hassan Mwakinyo kuporomoka toka nafasi ya 14 duniani kwenda nafasi ya chini ya 86 na changamoto zake.
Changamoto ni kuwa sasa Hassan Mwakinyo itakuwa vigumu kupata mapambano wenye mkwanja mrefu.
Wazoefu wamelaumu team yake, promoters, sponsors kwa kukosa ufahamu ya kumlinda na kumsaidia Hassan Mwakinyo kupakia angalau ktk 20 bora ulimwenguni ili walau ndoto ya kuwa bingwa wa ndondi wa uzito wake duniani itimie na pia kulipwa mapato na ufadhili / sponsorship zenye pesa nyingi.
Source: Star TV habari
Marchi 27, 2019
Mwakinyo azungumzia mipango yake
Source: Clouds media
Wachambuzi wa nyota ya Mwakinyo kufifia watoa sababu:
Mabondia walioitumikia Tanzania kwa muda mrefu na uzoefu wa kimataifa waelezea sababu ya ranking ya Hassan Mwakinyo kuporomoka toka nafasi ya 14 duniani kwenda nafasi ya chini ya 86 na changamoto zake.
Changamoto ni kuwa sasa Hassan Mwakinyo itakuwa vigumu kupata mapambano wenye mkwanja mrefu.
Wazoefu wamelaumu team yake, promoters, sponsors kwa kukosa ufahamu ya kumlinda na kumsaidia Hassan Mwakinyo kupakia angalau ktk 20 bora ulimwenguni ili walau ndoto ya kuwa bingwa wa ndondi wa uzito wake duniani itimie na pia kulipwa mapato na ufadhili / sponsorship zenye pesa nyingi.
Source: Star TV habari
Marchi 27, 2019
Mwakinyo azungumzia mipango yake
Source: Clouds media