Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
muhindi na ngumi wapi na wapi. nahisi mhindi ndiyo kalitaka pambano.Vp huyo muhindi na kiduku nani zaidi?
Umaarufu wake ni kwenye kupokea kichapoWadau hamjamboni nyote
Ni usiku huu
Mandonga aokolewa na refa round ya mwisho wa mchezo
Huna ht huruma ndugu yangu 😂Angempasua ubongo kabisa
Ova
Bado yuko hai?Wadau hamjamboni nyote
Ni usiku huu
Mandonga aokolewa na refa round ya mwisho wa mchezo
Nasisi tunamuunga mkono hadi wamuue washabiki tumo.Umaarufu wake ni kwenye kupokea kichapo