Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sasa ni comedian sio boxerMaandonga aachane na ngumi awe Comedian
Kikubwa nimetoka salama🤣🤣Vipi mwanetu Mpaji Mungu Katoka salama😆😁,
Hajapigwa "ni mchezo tu"Uwezo wa kukupiga hana wakati umeshapigwa!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mada Maugo ni wa Nchi gani kwani?Uzuri wa Mandonga hata akipigwa ameshinda tu.
"Endorsement" zitazidi hapo.
Ameweka rikodi ya duniani ya boxer pekee ambae akipigwa watu wanamshangilia.
MbongoMada Maugo ni wa Nchi gani kwani?
Mada kama ni bondia kweli si apigane na mabondia wenzake?jana kwenye kupima uzito nilimwambia mtu mada haongei sana atamtwanga mandonga akanibishia ngoja nimtafute
Huyo Madam Maugo ni wa siku nyingi, nimeanza kumsikia tangu wakati wa Railway gerezani.Mada Maugo ni wa Nchi gani kwani?
Sasa mbona title ya uzi inambeba Mandonga?Huyo Madam Maugo ni wa siku nyingi, nimeanza kumsikia tangu wakati wa Railway gerezani.
Hata huyo Madam Maugo pamoja NI wa zamani kashasahaurika, hapo katembelea nyota ya Mandonga.Sasa mbona title ya uzi inambeba Mandonga?
Kwanini isingekuwa Mada Maugo amtwanga Mandonga kwa TKO?
Kushinda kwenye nyama choma na beer husababisha kitambi kitakachokuja kukutoa nishai kwenye mechi yoyote yenye concept ya ulingoWadau hamjamboni nyote
Ni usiku huu
Mandonga aokolewa na refa round ya mwisho wa mchezo
View attachment 2961233
View attachment 2961145
wahi kumcheki daktaribwa meno pale morroco Kuna mhindi .Kikubwa nimetoka salama🤣🤣
bado mzima huyu.zile upper cut zinatoka vizuri kabisa.
Kama amefika hadi round ya mwisho basi amejitahidi sanaWadau hamjamboni nyote
Ni usiku huu
Mandonga aokolewa na refa round ya mwisho wa mchezo
View attachment 2961233
View attachment 2961145
Natafuta specialist wa tayawahi kumcheki daktaribwa meno pale morroco Kuna mhindi .
Mwambie aku weekend hata ya ng'ombe 🤓🤣