Bondia Mandonga ni Kanyaboya wa kisasa, historia zao zinafurahisha, wazee wa mikwara ya hatari

Bondia Mandonga ni Kanyaboya wa kisasa, historia zao zinafurahisha, wazee wa mikwara ya hatari

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
FY8M2qXWIAEx5v4.jpg

MANDONGA

Kwa sasa Nchini Tanzania ukitaja jina la MANDONGA watu wengi wataanza kucheka, hiyo ni kutokana na sifa za bondia huyo ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni hasa mwaka huu 2022.

MANDONGA amenikumbusha stori ya mtu anaitwa Felix KANYABOYA ambaye ndiyo huyo aliyesababisha neno KANYABOYA likazaliwa Nchini Tanzania, hiyo ni kwa kuwa sifa zao ni kama zinaendana.

Wote wawili ni mabondia maarufu kwa kupiga mikwara ya hatari, yaani kwa jinsi wanavyojisifia ni wazi kuwa kama mpinzani atakuwa mwepesi anaweza kujawa hofu, lakini wakishapanda ulingoni sasa ni burudani, kwa kuwa hawaoneshi kile walichokuwa wakitamba nacho.

Karim MANDONGA amekuwa maarufu kutokana na ile mikwara yake anayoonesha kabla ya pambano lakini mara mbili zilizopita alipopanda ulingoni alipata kipigo ambacho hakikuwa na ubishi kuwa kaonewa, bali ni kweli alizidiwa na akachapika Swadakta!

Julai 30, 2022 MANDONGA alichapika kwa TKO katika Raundi ya Nne dhidi ya Shaban Kaoneka lakini kabla ya pambano hilo, tambo na mikwara ya MANDONGA ilikuwa siyo ya Nchi hii.

Baada ya pambano hilo, imekuwa kama kichekesho nchini kila unapotaja jina la MANDONGA, watu wanaamini anafanana na KANYABOYA.

Nikukumbushe kidogo kuhusu KANYABOYA ambaye alikuwa ni bondia miaka ya 1980, huyu alivyokuwa na mikwara na kupata kichapo kila alippanda ulingoni tena mapema tu, watu wengi wakaanza kumfananisha mtu yeyote mwenye mikwara mingi sawa na KANYABOYA.

Yaani ikaonekana KANYABOYA ni mtu ambaye hawezi kufanya kitu cha maana zaidi ya mikwara au habari za uwongo uwongo


======================
Kanya.JPG
Huyu Ndio Bondia Kanyaboya Kutoka Burudi Aliyeleta Msemo wa Kanya Boya Tanzania Kutokana na Vitendo vyake

Kanya Boya ni bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu Felix Kanyaboya kati ya Miaka ya 1986 / 1987 alikuja kucheza Tanzania , Alikuwa anafikia Hotel za Kariakoo.

Bondia huyu alikuwa na Mikwara mingi saana na siku ya Mechi anatoka Hotelini Kariakoo anatembea kwa Miguu akiwa kavalia kabisa Gloves , ring bout, Gum shield, anapiga shadow box njia nzima na watu wanamshangilia mpaka Railways Club Gerezani. Akipanda Ulingoni Round zake 2 tu kapigwa KO mbaya na akina Habibu Kinyogoli, na Omary Yazidu. Ndipo Jina lake likavuma kama KANYABOYA NI KUMBUKUMBU TU Kutoka Maktaba.


Pia soma:
Bondia Mandoka achapika, Kidunda ashinda, Mapambano ya ndondi Songea, Julai 30, 2022

Mjue bondia KANYABOYA na mikwara yake, hadi neno la Kanyaboya likazaliwa kwa ajili yake
 
Namkumbuka Kaoneka alimpiga Mwakinyo mwaka kama 2016 au 17 kitu kama icho

Ntakaa kujua huyo kaoneka mtu wa wapi yaani asili yake maana Mandonga ni mzaramo maneno kibao
 
Yote kwa yote namkubali tu mtu kazi Karim Mandonga.
 
Huyu jamaa anajiamini balaa....angekuwa msomi angeweza kwenda kuomba kazi ata BOT, haamini mambo ya connection
 

Kwa sasa Nchini Tanzania ukitaja jina la MANDONGA watu wengi wataanza kucheka, hiyo ni kutokana na sifa za bondia huyo ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni hasa mwaka huu 2022.

MANDONGA amenikumbusha stori ya mtu anaitwa Felix KANYABOYA ambaye ndiyo huyo aliyesababisha neno KANYABOYA likazaliwa Nchini Tanzania, hiyo ni kwa kuwa sifa zao ni kama zinaendana.

Wote wawili ni mabondia maarufu kwa kupiga mikwara ya hatari, yaani kwa jinsi wanavyojisifia ni wazi kuwa kama mpinzani atakuwa mwepesi anaweza kujawa hofu, lakini wakishapanda ulingoni sasa ni burudani, kwa kuwa hawaoneshi kile walichokuwa wakitamba nacho.

Karim MANDONGA amekuwa maarufu kutokana na ile mikwara yake anayoonesha kabla ya pambano lakini mara mbili zilizopita alipopanda ulingoni alipata kipigo ambacho hakikuwa na ubishi kuwa kaonewa, bali ni kweli alizidiwa na akachapika Swadakta!

Julai 30, 2022 MANDONGA alichapika kwa TKO katika Raundi ya Nne dhidi ya Shaban Kaoneka lakini kabla ya pambano hilo, tambo na mikwara ya MANDONGA ilikuwa siyo ya Nchi hii.

Baada ya pambano hilo, imekuwa kama kichekesho nchini kila unapotaja jina la MANDONGA, watu wanaamini anafanana na KANYABOYA.

Nikukumbushe kidogo kuhusu KANYABOYA ambaye alikuwa ni bondia miaka ya 1980, huyu alivyokuwa na mikwara na kupata kichapo kila alippanda ulingoni tena mapema tu, watu wengi wakaanza kumfananisha mtu yeyote mwenye mikwara mingi sawa na KANYABOYA.

Yaani ikaonekana KANYABOYA ni mtu ambaye hawezi kufanya kitu cha maana zaidi ya mikwara au habari za uwongo uwongo


======================
Huyu Ndio Bondia Kanyaboya Kutoka Burudi Aliyeleta Msemo wa Kanya Boya Tanzania Kutokana na Vitendo vyake

Kanya Boya ni bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu Felix Kanyaboya kati ya Miaka ya 1986 / 1987 alikuja kucheza Tanzania , Alikuwa anafikia Hotel za Kariakoo.

Bondia huyu alikuwa na Mikwara mingi saana na siku ya Mechi anatoka Hotelini Kariakoo anatembea kwa Miguu akiwa kavalia kabisa Gloves , ring bout, Gum shield, anapiga shadow box njia nzima na watu wanamshangilia mpaka Railways Club Gerezani. Akipanda Ulingoni Round zake 2 tu kapigwa KO mbaya na akina Habibu Kinyogoli, na Omary Yazidu. Ndipo Jina lake likavuma kama KANYABOYA NI KUMBUKUMBU TU Kutoka Maktaba.


Pia soma:
Bondia Mandoka achapika, Kidunda ashinda, Mapambano ya ndondi Songea, Julai 30, 2022

Mjue bondia KANYABOYA na mikwara yake, hadi neno la Kanyaboya likazaliwa kwa ajili yake
kumbe kulikuwaga na Mandonga wengine , asante kwa kumbukumbu
 
Mbona mnamsema sana Mchina? Acheni kutumia vifaa vyake na simu, tuone kama mnao huo ubavu!
 

Kwa sasa Nchini Tanzania ukitaja jina la MANDONGA watu wengi wataanza kucheka, hiyo ni kutokana na sifa za bondia huyo ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni hasa mwaka huu 2022.

MANDONGA amenikumbusha stori ya mtu anaitwa Felix KANYABOYA ambaye ndiyo huyo aliyesababisha neno KANYABOYA likazaliwa Nchini Tanzania, hiyo ni kwa kuwa sifa zao ni kama zinaendana.

Wote wawili ni mabondia maarufu kwa kupiga mikwara ya hatari, yaani kwa jinsi wanavyojisifia ni wazi kuwa kama mpinzani atakuwa mwepesi anaweza kujawa hofu, lakini wakishapanda ulingoni sasa ni burudani, kwa kuwa hawaoneshi kile walichokuwa wakitamba nacho.

Karim MANDONGA amekuwa maarufu kutokana na ile mikwara yake anayoonesha kabla ya pambano lakini mara mbili zilizopita alipopanda ulingoni alipata kipigo ambacho hakikuwa na ubishi kuwa kaonewa, bali ni kweli alizidiwa na akachapika Swadakta!

Julai 30, 2022 MANDONGA alichapika kwa TKO katika Raundi ya Nne dhidi ya Shaban Kaoneka lakini kabla ya pambano hilo, tambo na mikwara ya MANDONGA ilikuwa siyo ya Nchi hii.

Baada ya pambano hilo, imekuwa kama kichekesho nchini kila unapotaja jina la MANDONGA, watu wanaamini anafanana na KANYABOYA.

Nikukumbushe kidogo kuhusu KANYABOYA ambaye alikuwa ni bondia miaka ya 1980, huyu alivyokuwa na mikwara na kupata kichapo kila alippanda ulingoni tena mapema tu, watu wengi wakaanza kumfananisha mtu yeyote mwenye mikwara mingi sawa na KANYABOYA.

Yaani ikaonekana KANYABOYA ni mtu ambaye hawezi kufanya kitu cha maana zaidi ya mikwara au habari za uwongo uwongo


======================
Huyu Ndio Bondia Kanyaboya Kutoka Burudi Aliyeleta Msemo wa Kanya Boya Tanzania Kutokana na Vitendo vyake

Kanya Boya ni bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu Felix Kanyaboya kati ya Miaka ya 1986 / 1987 alikuja kucheza Tanzania , Alikuwa anafikia Hotel za Kariakoo.

Bondia huyu alikuwa na Mikwara mingi saana na siku ya Mechi anatoka Hotelini Kariakoo anatembea kwa Miguu akiwa kavalia kabisa Gloves , ring bout, Gum shield, anapiga shadow box njia nzima na watu wanamshangilia mpaka Railways Club Gerezani. Akipanda Ulingoni Round zake 2 tu kapigwa KO mbaya na akina Habibu Kinyogoli, na Omary Yazidu. Ndipo Jina lake likavuma kama KANYABOYA NI KUMBUKUMBU TU Kutoka Maktaba.


Pia soma:
Bondia Mandoka achapika, Kidunda ashinda, Mapambano ya ndondi Songea, Julai 30, 2022

Mjue bondia KANYABOYA na mikwara yake, hadi neno la Kanyaboya likazaliwa kwa ajili yake
Umeachwa mbali sana na dunia ya kisasa, mandonga muda mfupi amefanya yafuatayo
1. Ameifsnya tasnia ya ngumi kujulikana kwa watu wengi, haraka kwa muda mfupi tu
2.Anapiga hela kuliko hao wanatumia ktk ngumi
3, ana matangazo asas,security companies etc

Think before posting
 
Back
Top Bottom