Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
ππUsijifanye hujaelewa mkuu,namaanisha t*ko!π
Yeebabaa,.Aisee!
daaah!!Kama anafika kileleni nadhani haina shida,.
Mkuu kipindi mike tyson ametoka jela anaanza kupigana ulifatilia mapambano yake? Kama ulifatilia utakuwa ulimuona huyu maana kwenye mapambano ya utangulizi alikuwepo, tatizo la huyu demu anapiga kama wanaumeSikuwahi msikia kabisa.Hayo mambano yalikuwa ya level gani?
πππππππππSaint Anne anza kupigana ngumi!πππ
Hahahahah anakupa nako mpaka unasema uwii nisamehe mke wangu utaniua baba watoto wako sichelewi kurudi tena πππMkuu kipindi mike tyson ametoka jela anaanza kupigana ulifatilia mapambano yake? Kama ulifatilia utakuwa ulimuona huyu maana kwenye mapambano ya utangulizi alikuwepo, tatizo la huyu demu anapiga kama wanaume
SeenUnanamba yake..?
Msitukhanithi enyi watu.Bondia Laila Amaria Ali ni mtoto wa nane kati ya tisa wa Bondia Muhammad Ali, mwanadada huyu anatajwa kama βBondia Mrembo zaidi Dunianiβ. Kwa sasa ameshastaafu mchezo huo wapili kwa kupendwa zaidi Tanzania baada ya Mpira wa miguu, akiwa ameanza mapambano mwaka 1999 mpaka 2007.
Katika mapambano yake hajapoteza hata moja mpaka anatundika βglovesβ, katika mapigano 24 aliyoshinda, 21 amewadondosha wapinzani wake kwa KO. Kwa sasa ana umri wa miaka 43 bondia huyu wazamani wa Marekani.
2012 ameshinda tuzo ya AOC, 2002, 2005, 2007 WBC WIBA World Super Middleweight, 2004 IWBF Female light heavyweight na 2002-2004 IWBF & IBA female Super Middleweight. Kwa kifupi hakubakiza kitu kwenye kila mkanda aliyopigania mwanadada huyu ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 43 akionekana mwenyefuraha tele kwenye maisha yake.
Waswahili wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka, huyu aliamua kutembea mulemule alipopita baba yake Muhammad Ali wapenzi wa ngumi hakuna asiyemjua, katika zama zake alifanya makubwa. Dunia inamtambua Laila Ali kama moja kati ya Bondia wa kike wakubwa wa muda wote.
Eti hivi Huyo kwenye avatar yako Ni wewe?πππ
Kama MwanaumeMkuu kipindi mike tyson ametoka jela anaanza kupigana ulifatilia mapambano yake? Kama ulifatilia utakuwa ulimuona huyu maana kwenye mapambano ya utangulizi alikuwepo, tatizo la huyu demu anapiga kama wanaume
Wapo wengiii...angalia vitasa azam tv utawaona kina bandola, macho na wenzieKwa bongo tunao wanawake wanaocheza hiyo boxing? Nahitaji niwaone
Shukrani sanaWapo wengiii...angalia vitasa azam tv utawaona kina bandola, macho na wenzie