Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Serikali ya Malawi kupitia Wizara ya Kilimo, imechukua hatua hiyo ikiwa ni miezi michache tangu iidhinishe kilimo na matumizi ya bangi nchini humo tarehe 27 Februari 2020.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, WaTZ wanalaumu na kukasirika hata Samia akitania Harmonize ana mwili kama wa TemboMambo ya bange yangefanyika Tanzania watu mishipa ya shingo ingewatoka kwa kukosoa na kuilaumu serikali
Lakini tujue Kuna nchi zina mipango ya ajabu mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha, WaTZ wanalaumu na kukasirika hata Samia akitania Harmonize ana mwili kama wa Tembo
Acha upotoshaji, Malawi haijaruhusu matumizi ya bangi, ukikamatwa unalima na unatumia utachukuliwa hatua za sheria. Watanzania tunapenda sana kupotosha mambo.Serikali ya Malawi kupitia Wizara ya Kilimo, imechukua hatua hiyo ikiwa ni miezi michache tangu iidhinishe kilimo na matumizi ya bangi nchini humo tarehe 27 Februari 2020.
View attachment 2021547
Jinsi walivyosisitiza kwenye hiyo "letter of appointment" sidhani kama uandikacho kinatekelezwa "field"Acha upotoshaji, Malawi haijaruhusu matumizi ya bangi, ukikamatwa unalima na unatumia utachukuliwa hatua za sheria. Watanzania tunapenda sana kupotosha mambo.
Kilimo cha bangi ni kwa wenye leseni tu nao hawaruhusiwi kuitumia, bangi inauzwa na kununuliwa na wenye leseni tu kwa matumizi ya malighafi za viwanda husika vilivyoidhinishwa na serikali kwa ajili ya utengenezaji wa dawa kama ilivyo sumu ya nyoka.
Ili baadae mpate kipya cha kutukana mamlaka?Hii fursa sijui kwanini serikali inafumbia macho.
Bangi ya ikilimwa hapo Arumeru na Tarime ingeingiza mabilioni ya kigeni
Tunapenda unafiki sana kuliko uhalisia kwa sababu anayetaka kuvuta bangi Leo hawezi kuikosa ipo mtaani kibao.
Tutabadilika taratibu, kuna vitu vilikuwa havikubaliki kabisa hapa nchini lakini kwa sasa vinakuwa accepted mdogo mdogoHii fursa sijui kwanini serikali inafumbia macho.
Bangi ya ikilimwa hapo Arumeru na Tarime ingeingiza mabilioni ya kigeni
Tunapenda unafiki sana kuliko uhalisia kwa sababu anayetaka kuvuta bangi Leo hawezi kuikosa ipo mtaani kibao.
Tyson huwa haelewekiHuyu c alienda kuhiji? Au!!!
Nadhani huu ni muda muafaka kwenda Malawi 🚬Serikali ya Malawi kupitia Wizara ya Kilimo, imechukua hatua hiyo ikiwa ni miezi michache tangu iidhinishe kilimo na matumizi ya bangi nchini humo tarehe 27 Februari 2020.
View attachment 2021547
ni vitu viwili tofauti kama konyagi na castle lightWakiruhusu bangi unga watauza wapi