Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,513
Asante ndugu kwa jibu lako, nimejifunza kipya leo.Hakuna shitaka lolote dhidi ya mpinzani
Kabla ya pambano lazima usaini mkataba wa kukubaliana na lolote hata kifo
Pia sheria ipo wazi kuwa alipigana kwa ridhaa yake
Valento non fit injuria
Once u consent there is no liability in tort