Bondia Tony Rashid avuliwa ubingwa ABU, yadaiwa ulikuwa wa koneksheni

Mechi ya kwanza iliyopigwa Dar kidunda alipigwa akapasuka jichoni akaokolewa na kusingizia kapigwa kichwa .

wote tunayo macho
 
hutaki kupewa taarifa ?
 
hutaki kupewa taarifa ?
Hata siku 1 huna habari ya kupongeza usiowapenda

Wewe zile habari zao mbaya au udaku unaowahusu ndio unazipenda

Kaa tu ukijua hata wabaya wana mema yao

Kuna mtu humu anajiita John the baptist mbona hutoa hata habari njema kuihusu Chadema na viongozi wake au kuhusu hata wale anaowakosoa

Ukipenda kukosoa sana watu upende na kuwasifia pia pale wanapofanya vema

Wewe bondia wa nchi hii akifanya vizuri lazima utafute kasoro sio kuangalia jema.
 
ziko wapi habari zao nzuri
 
Roho za kikolowizard aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…