MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wakati mama Samia akiendelea kuipigania nchi yetu nje ya mipaka na kwa wakati huu akiwa Kigali Rwanda katika moja ya summit muhimu duniani mmarekani Peter Greenberg naye yuko Kigali muda huohuo.
Peter Greenberg anakuwa mmoja ya watu wachache sana duniani asiyekuwa Mtanzania kupata bahati ya kukutana na rais Samia sehemu tatu tofauti kwa nyakati tofauti. Wamewahi kukutana Tanzania, Marekani na Rwanda.
Peter Greenberg anakuwa mmoja ya watu wachache sana duniani asiyekuwa Mtanzania kupata bahati ya kukutana na rais Samia sehemu tatu tofauti kwa nyakati tofauti. Wamewahi kukutana Tanzania, Marekani na Rwanda.