Bonge moja la ngoma Mr.Fleva ft Diamond "time to party"

Nakushauri nenda kapime ugonjwa wa Wivumonia
 
Mbona kwenye hiyo picha diamond ameinama sana? Ana shida gani?
 
Kila mwanamke anapenda kuonyesha mwili wake,hiyo ndio hulka za wanawake wote duniani,wanawake wanapenda miili yao,huku kwetu tunasema wanavunja maadili ya mtanzania,..nimeona sakata la Hamisa na mwenzake..ukweli ni aibu kwa Tanzania vipi serikali inavyowabana wanawake wa kitanzania,
tuwaache wanawake wawe wanawake...
 
Wimbo unafaa kwa jogging. Ngoja niende kwenye free download, mnisamehe wajameni vyuma vimekaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…