Kwa kweli kipindi cha Power Breakfast maarufu kama "Bonge" kinafurahisha sana hasa jinsi Bonge anavyomaliza kipindi chake yaani misemo fulani, mfano leo eti kamalizaje "Umaskini kama ni ugonjwa, basi tungekufa wengi" yaani inachekesha sana na kufundisha, hebu tujikumbushe na misemo mingine tunayoikumbuka aliyowahi kurusha Bonge
Nawashukuru sana wote
Lete msemo hata mmoja basi Rose maana umeazisha topic nyingine kabisacloudsssssssssssssssssssssssssss fffffffffffffffffmmm..
bonge wa ukweee anaonekana mtoto wa twnnn ktaaaambo ahha anajua chochoro uyo dahh sjui kona gan asiyoijua mjjn apa..
Lete msemo hata mmoja basi Rose maana umeazisha topic nyingine kabisa
ahhaha hahah
..mi mwenzio nasahau mwaya ..bt nasikiliza mara nyng...wor nt once nkikumbuka ntafunguka usijali beb...sawa?
Ha ha ha haaaaaaaaaandege haina honi!!
Nyumba yenye njaa haikaliwi na panya.
Ukipewa lifti usiulize tiket
Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!
Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!
Yaani sikioni kitufe cha thanks wala like, but thanks very much Rose, nadhani ana matatizo binafsi na clouds huyu..ahh wewe ata km wapo wanaochafua clouds lakin kuna vipind vzuri bwana
..si wote hawajui /wanaoropoka tu
chek kile kipind cha jumamos asubui sjui kaka gan sjui alex sjui nan anatangaza INTERNATIONAL nyuz kwa umakin na uchambuzi yakinifu..km mtu anasoma international relations ukimsikiliza pale japo unaaambulia kdg..yaan ukkitaka kujua dunia inaendaje bas sikiliza ...jumamos asubui samoja mpaka sa 3 ivi......
kuna wachache wanaharibu bt to b honest wanajitaidi
SNA UBIA NA CLOUDS M JUST TRYNG 2B FAIR.....
Acha kututusi wewe, kama una bif nao si wewe tu, na si muda wote wanaongea usiyoyapenda, kuwa muungwana kidogo, heshima ni kitu cha bure!!!!!
Kwa kweli hata mimi leo nilimsikia mtangazaji wa hicho kipindi alipoanza kwa kueleza meengi sana kuhusu Chenji ya Rada.
hakika nikasema kweli watu wako huru kueleza hisia zao dhidi a Serikali.
Nilikipenda sana kipindi hicho cha asubuhi
Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!