Bonge wa clouds!!!

Bonge wa clouds!!!

For sure ,kama wewe hukipendi ni mtazamo wako na hujalazimishwa!
 
basicaly 4 tha tym being nlikuwa napenda sana especialy mornin o way 2 ofce but kwa sasa MATANGAZO yamezidi kila baada ya 3mnts tangazo 4 sure it real booring on my side
kama ni operation cost mbona wengine kama kiss wana-manage withn 15 to 30 mnts then comercials?
Apart 4rom that wanajitahidi thats tha truth
 
mupe mupe uyooooooo...clouds si mbaya yoootekuna vpnd bomba na watangazaj bomba piakm wewe mding acha kusikiliza XXL ..na autakwazika ..lakin kumwambia yank mwenye 10-28yrs asisikilize XXL atakushangaa cx weng wao ndo wanapenda swaga zile na muziki ulekiumwambia mtu mlokole/mkristu asisikilize I SUNDAY jumapili asubui utamkwaza na atakukemeakumwambia mdada wa saloon/b mdogo pale home/mdada asisikilze LEO TENA ahh atakuona unamchawiakumwambia dereva tax asisikilize JAHAZ ahh atakuongezea nauli..from buku 3 to buku 8kumwambia sista duu/brazamen/easy go gal,boy /mtu asiye na maadili na anayependa kusilkiliza wapuuzi wakichambua mahusiano wakat wao ata awana uhusiano unaodumu mwez mmoja leo uyu kesho yule asimsikilize LOVENESS ahh atakusghangaa coz ndo anapendaukimwambia mtu anayependa diplomasia n global news asisikilize KURUNZ jumamos asubui anaweza kuku sue..na kumwambia mtu mkaka/mdada mwenye machungu na nchi yao asisikilize breakfast ..ahh atakushangaa..thou sometimes wanakuwa km makada wa chama flan ivi...apo tu wanakera na yule mdor wao mwenhye kiswanglish
uko so bright dadaangu,umemaliza kila kitu
 
kwa kweli kipindi cha power breakfast maarufu kama "bonge" kinafurahisha sana hasa jinsi bonge anavyomaliza kipindi chake yaani misemo fulani, mfano leo eti kamalizaje "umaskini kama ni ugonjwa, basi tungekufa wengi" yaani inachekesha sana na kufundisha, hebu tujikumbushe na misemo mingine tunayoikumbuka aliyowahi kurusha bonge

nawashukuru sana wote

ubitozi bila hela sawa na kuwa na upara bila elimu
 
Kila siku humu Clouds Clouds....sioni mkilia lia kuhusu Radio One, Times FM, East African....so why Clouds all the time?
 
Baadhi ya misemo aliyowahi kuisema bonge ni

Kazi ya jina kuitwa....
Mwanafunzi hachagui yuniform (sare ya shule)..
...Bora ya uzee kuliko uzembe..
...Ukiitwa ..itika..
 
Cloudz iko poa ila ukickiliza power breakfast kuna matangazo mengi sanaaa. Vile vile bonge anajitahid kupunguza baadh ya kero jijini kwa kupeleka madai mf.ubovu wa barabara mf.mashimo, kwa maofisa husika na kutoa feedback. Jamaa mcheshi na yuko poa.
 
Kwa kweli kipindi cha Power Breakfast maarufu kama "Bonge" kinafurahisha sana hasa jinsi Bonge anavyomaliza kipindi chake yaani misemo fulani, mfano leo eti kamalizaje "Umaskini kama ni ugonjwa, basi tungekufa wengi" yaani inachekesha sana na kufundisha, hebu tujikumbushe na misemo mingine tunayoikumbuka aliyowahi kurusha Bonge

Nawashukuru sana wote

Nahisi huyu jamaa haujui 'umasikini' na wala hasomi makala na mikakati kuhusu kuondoa umasikini hasa MDGs reports. Ni vema akafahamu kuwa kuna diseases za poverty kama sehemu ya poverty na watu wanakufa sana tu. Magonjwa hayo ni HIV/ AIDS, malaria, TB na mengine makubwa.

Source: Assessing Progress in Africa toward the Millennium Development Goals, 2010, page 41 under goal 6
 
Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!
pia wapo ambao hawapo sirias na hawasikilizi clouds, we upo kundi lipi?? la sirias au lisilo sirias?
 
yatimaa adekiiiiii....
mbayaa baba yako analooo....
 
....hata mbuyu ulianza km mchicha...
...mbea haulizwi....

Wasioipenda clouds wana lao jambo... Inalenga wote, wakubwa, wadogo, vijana, wanasiasa/wanadiplomasia, wenye matatizo mbalimbali...
Usipopenda kusikiliza kipindi flani basi utapata tu kunachokufaa kusikiliza...

Clouds fm.....radio ya watu...
 
mupe mupe uyooooooo...clouds si mbaya yooote
kuna vpnd bomba na watangazaj bomba pia

km wewe mding acha kusikiliza XXL ..na autakwazika ..lakin kumwambia yank mwenye 10-28yrs asisikilize XXL atakushangaa cx weng wao ndo wanapenda swaga zile na muziki ule

kiumwambia mtu mlokole/mkristu asisikilize I SUNDAY jumapili asubui utamkwaza na atakukemea

kumwambia mdada wa saloon/b mdogo pale home/mdada asisikilze LEO TENA ahh atakuona unamchawia

kumwambia dereva tax asisikilize JAHAZ ahh atakuongezea nauli..from buku 3 to buku 8

kumwambia sista duu/brazamen/easy go gal,boy /mtu asiye na maadili na anayependa kusilkiliza wapuuzi wakichambua mahusiano wakat wao ata awana uhusiano unaodumu mwez mmoja leo uyu kesho yule asimsikilize LOVENESS ahh atakusghangaa coz ndo anapenda

ukimwambia mtu anayependa diplomasia n global news asisikilize KURUNZ jumamos asubui anaweza kuku sue..

na kumwambia mtu mkaka/mdada mwenye machungu na nchi yao asisikilize breakfast ..ahh atakushangaa..thou sometimes wanakuwa km makada wa chama flan ivi...apo tu wanakera na yule mdor wao mwenhye kiswanglish




+km mtu anahuruma,anapenda testimony ukimwambia ususiklize NJIA PANDA ..ATALIA NAKWAMBIA
+AU mpz wa mpira,francis cheka umwambie asisikilize sports xtra..kila siku saa 3

ennhh nimemfanyia matangazo kak joo ya kutosha anilipe sasa
 
Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!

Mkuu inaonekana una chuki binafsi. Ina maana Clouds FM hawana kipindi chochote kizuri? Tusiwe hivyo, pale kitu kinapokuwa kzuri tusiwe wachoyo wa fadhila!
 
Back
Top Bottom