Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko so bright dadaangu,umemaliza kila kitumupe mupe uyooooooo...clouds si mbaya yoootekuna vpnd bomba na watangazaj bomba piakm wewe mding acha kusikiliza XXL ..na autakwazika ..lakin kumwambia yank mwenye 10-28yrs asisikilize XXL atakushangaa cx weng wao ndo wanapenda swaga zile na muziki ulekiumwambia mtu mlokole/mkristu asisikilize I SUNDAY jumapili asubui utamkwaza na atakukemeakumwambia mdada wa saloon/b mdogo pale home/mdada asisikilze LEO TENA ahh atakuona unamchawiakumwambia dereva tax asisikilize JAHAZ ahh atakuongezea nauli..from buku 3 to buku 8kumwambia sista duu/brazamen/easy go gal,boy /mtu asiye na maadili na anayependa kusilkiliza wapuuzi wakichambua mahusiano wakat wao ata awana uhusiano unaodumu mwez mmoja leo uyu kesho yule asimsikilize LOVENESS ahh atakusghangaa coz ndo anapendaukimwambia mtu anayependa diplomasia n global news asisikilize KURUNZ jumamos asubui anaweza kuku sue..na kumwambia mtu mkaka/mdada mwenye machungu na nchi yao asisikilize breakfast ..ahh atakushangaa..thou sometimes wanakuwa km makada wa chama flan ivi...apo tu wanakera na yule mdor wao mwenhye kiswanglish
kwa kweli kipindi cha power breakfast maarufu kama "bonge" kinafurahisha sana hasa jinsi bonge anavyomaliza kipindi chake yaani misemo fulani, mfano leo eti kamalizaje "umaskini kama ni ugonjwa, basi tungekufa wengi" yaani inachekesha sana na kufundisha, hebu tujikumbushe na misemo mingine tunayoikumbuka aliyowahi kurusha bonge
nawashukuru sana wote
Mti wenye matundaKila siku humu Clouds Clouds....sioni mkilia lia kuhusu Radio One, Times FM, East African....so why Clouds all the time?
Kwa kweli kipindi cha Power Breakfast maarufu kama "Bonge" kinafurahisha sana hasa jinsi Bonge anavyomaliza kipindi chake yaani misemo fulani, mfano leo eti kamalizaje "Umaskini kama ni ugonjwa, basi tungekufa wengi" yaani inachekesha sana na kufundisha, hebu tujikumbushe na misemo mingine tunayoikumbuka aliyowahi kurusha Bonge
Nawashukuru sana wote
. Ni vema akafahamu kuwa kuna diseases za poverty kama sehemu ya poverty na watu wanakufa sana tu.
pia wapo ambao hawapo sirias na hawasikilizi clouds, we upo kundi lipi?? la sirias au lisilo sirias?Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!
Wewe akili za kukariri zitakuponza, anza kutumia ubongo wako.
uko so bright dadaangu,umemaliza kila kitu
mupe mupe uyooooooo...clouds si mbaya yooote
kuna vpnd bomba na watangazaj bomba pia
km wewe mding acha kusikiliza XXL ..na autakwazika ..lakin kumwambia yank mwenye 10-28yrs asisikilize XXL atakushangaa cx weng wao ndo wanapenda swaga zile na muziki ule
kiumwambia mtu mlokole/mkristu asisikilize I SUNDAY jumapili asubui utamkwaza na atakukemea
kumwambia mdada wa saloon/b mdogo pale home/mdada asisikilze LEO TENA ahh atakuona unamchawia
kumwambia dereva tax asisikilize JAHAZ ahh atakuongezea nauli..from buku 3 to buku 8
kumwambia sista duu/brazamen/easy go gal,boy /mtu asiye na maadili na anayependa kusilkiliza wapuuzi wakichambua mahusiano wakat wao ata awana uhusiano unaodumu mwez mmoja leo uyu kesho yule asimsikilize LOVENESS ahh atakusghangaa coz ndo anapenda
ukimwambia mtu anayependa diplomasia n global news asisikilize KURUNZ jumamos asubui anaweza kuku sue..
na kumwambia mtu mkaka/mdada mwenye machungu na nchi yao asisikilize breakfast ..ahh atakushangaa..thou sometimes wanakuwa km makada wa chama flan ivi...apo tu wanakera na yule mdor wao mwenhye kiswanglish
Sidhani kama ana lolote jipya, na hakuna mtu serious anayesikiliza clouds so ukitaka kujua nchi hii ina wajinga wangapi basi angalia idadi ya wasikilizaji wa hiyo redio!